Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Ajiuzuru halafu atamalizaje miradi yake ambayo source of capital alijua kabisa itatokana na nafasi aliyo nayo? Hajiuzuru mtu hapa! Bongo sio ya wote ni ya wajanja tu. Halafu ajiuzuru wakati anapiga hesabu kuwa Rais wa Ardhi independent ya mikarafuu??? Hapa yupo shuleni ambapo kujiuzuru sio msamiati ambao mwalimu wao hanapenda kuusemasema. Kwanza haupo msemo huo, arogwe bure hivi? No way! Mzee Ruksa alijiuzuru enzi zile sababu maadili ya viongozi yalikuwapo na kwamba mchonga aliweza kukukuonea huruma ukijiuzuru. Sasa hivi ukijiuzuru imekula kwako, sasa nani awe pionear? Labda Tunisia na Egypt ihamie Bongo!