The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
These guys are just stupid craps
Hussein Hassan Mwinyi mtoto wa Ally Hassan Mwinyi - open your mind!!!
Nakama hataki kuwafukuza kazi basi yeye jk atoke (ajiuzuru)Kama yeye Mwinyi na Mwamnyange hawataki kujiuzuru, JK anatakiwa awe bold na kuwafukuza kazi leo hii na wala siyo kesho
Tanzania a country full of cowards.
Apishe tume itakayochunguza ifanye kazi yake kwa uwazi,asikae hapo na kuvuruga uchunguzi!!UYU waziri wa ulinzi ni ovyo kabisa anasubiri tume itoe majibu mbona tume ya mbagala hamjatuambia ilichogundua, shame on u!!!
Baba yake ndiye MSTAAARABU wa kwanza nchi kuonyesha kwa vitendo maana halisi ya uwajibikaji na ikampa heshima sana, japo kwenye KATIBA MPYA anatukera mno, sasa mtihani unahamia kwa Mwinyi mdogo na tutaangalia sana kwa ataendeleza KIBURI NA JEURI ile ile tulioizoea CCM au atatii historia iliowekwa na baba yake???
UYU waziri wa ulinzi ni ovyo kabisa anasubiri tume itoe majibu mbona tume ya mbagala hamjatuambia ilichogundua, shame on u!!!
Tume ya nini tena!!!!! Ya Mbagala ipo wapi??? Inatakiwa wote waachie ngazi, ikiwezekana hata JK....Apishe tume itakayochunguza ifanye kazi yake kwa uwazi,asikae hapo na kuvuruga uchunguzi!!
Kaazi kweli! Nchi hii ni rahisi sana kuiongoza maan wananchi wake ni wapole, wakarimu nk. Tunaonyesha kukerwa na uwajibikaji wa viongozi wetu lakini kwa sababu ya upole tunaishia kusema " aaah Mungu anajuwa bwana!" Tunaendelea kuumia tuu.
Hizo tume hazileti chochote maana zinateuliwa na haohao waliowaweka sasa unategemea nini? Tume zooooote za hapa kwetu huwa si huru kabisa, zinajengwa na dhana ya kulindana.
Cha kujiuliza ni kwamba hivi ni tume gani iliyowahi kuundwa na kutoa ukweli? (Ukiondoa tume ya Richmond)
Tutabaki kuumia tuu. Hata wale wanaodhani suluhisho ni 2015 wasahau. Kura zitachakachuliwa na itaundwa tume ya kuchunguza.
Kutokana na uoga na unafiki tuliokuwa nao ya egypt hatuyawezi. Yaani pamoja na matatizo na mapungufu ya serikali yetu kuna mijitu bado inadhani tuko kwenye kampeni! Tutakufa bila kelele. Yaani huwa nakasirika sana!
These guys are just stupid craps
Mwinyi: Kujiuzulu kunatoka na makosa yaliyofanywa na mamlaka iliyoko chini ya mtu kama itadhihirika. Tusubiri tume itakayoundwa na tupate matokeo yake kwanza.
Shame on him,kwani mwaka1972 wakati baba yake anjiuzuru alisubiri tume ? Ona jisi mijitu mingine ilivyokuwa mibinafsi,kama linashindwa kujifunza toka kwa baba yake mzazi litajifunza kutoka kwa nani ?
I wish this could be possible. Mkwere huo ubavu hana, hadithi za rejea zinaonyesha kuwa Mzee Mwinyi ndiye aliyeenda kumuokota JK huko kusini (sikumbuki ilikuwa Mtwara au Lindi alikokuwa katibu wa ccm) na kuja mpa ubunge na unaibu Uwaziri, ambavyo baadae vilimfikisha hapa alipo. Kwa kuwa Tanzania hatufanyi mambo mengi kwa ujuzi tulio nao, ila ni kwa kujuana, hawezi kumfukuza kazi. Ingekuwa rahisi kwake kuridhia kujiuzulu lakini sio kumfukuza kazi. Vilevile kwa mkwere itakuwa rahisi kuridhia msamaha wa kutokulipa deni endapo atapewa ofa ofa hiyo na RA lakini sio kutumia sheria zilizopo! Hapa imekula kwetu. Labda kitakacholeta mabadiliko na hawa waondoke, ni sisi wananchi kushinikiza, yaani nguvu ya umma.Kama yeye Mwinyi na Mwamnyange hawataki kujiuzuru, JK anatakiwa awe bold na kuwafukuza kazi leo hii na wala siyo kesho