EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
TBC imetangaza hivi punde kuwa ni watoto 8 tuu ambao bado hawajatambuliwa na kuchukuliwa na wazazi wao uwanja wa Uhuru. Hata hivyo bado kuna akina mama zaidi ya 100 ambao bado wanawatafuta watoto wao waliopotezana kwenye milipuko wa mabomu Gongo la Mboto.