Mwl.ngonyani
New Member
- Jun 26, 2011
- 4
- 0
Mimi ni mkaka wa miaka 25. Nahitaji mchumba ambaye baadaye ataitwa mama wa watoto wangu. Sifa za mwanamke ninayemuhitaji ni mwenye umri kati ya miaka 19 hadi 27, mpole kiasi, elimu ni cheti/stashahada/form 1V/form V1, awe tayari kufahamiana(face to face) ndani ya siku 45, dini yoyote. Kwa walio tayari tafadhali wanitumie email, ngonyanishukuru@yahoo.com, muhimu ni kunipatia profile yako huku ukinipatia namba za simu na location ulipo. I NEED ONLY THOSE WHO ARE SERIOUS PLEASEEEE!!!!!