Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Nimeiangalia hii video..it's just a crap! Na walioitengeza ni vilaza waliopitiliza..
Video imetengenezwa na CHADEMA na inasambazwa na CHADEMA wenyewe.
Hatudanganyiki lakini tunaendelea kudanganya.:lol:
Hiyo GDP imeingizwa hapo kujaribu kuwa kuwachota akili watu ambao hawajui GDP nini na wale ambao wanajua lakini wana akili fupi. Madhumuni ni kutaka kudanganya Mbowe anapokea dola milioni 400.Hivi GDP inaingia wapi hapa? Hii message ni ABSOLUTELY STUPID. Ujue na huyo mdada kasema haki ya Mungu kwamba CHADEMA ni mafisadi...
Kuna watu wamezidiwa sasa.
Na hii imebuniwa na Makamba akasema itakapotoka tu Mbowe kwisha kazi, kweli sasa wameishiwa wanatangatanga mara yuko Iringa mjini kesho kesharuka Musoma keshokutwa anarudi Makete siku inayofuata Pemba yaani mradi anazunguka hewani hana lolote.
Achaneni ni hivyo vimalaya, vinahamasisha ngono tu.
kinachowauma nikwamba ujumbe umefika yaliyosemwa humo ni ukweli mtupu and you are all tryna cover it hahahaaaaaa na bado mwaka huu mtawaona sana tu.....
inamaana nyinyi hamna sera za kuwapa watanzania..kila siku mnai2hum CCM. mi nahic mnavichwa maji ambavyo vina uwezo mdogo wa kufikiri, achen majungu. huo muda wa kukaa mnacomment video ni bora mngemsaidia mgombea wenu kuhubiri makanisani.