Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
vitoto vina stamina dada ha ha.namtamani sana babu DC hapa.
unajua vijana wa siku hizi sijui ni nini ila kiukweli ni waoga sana wa maisha na wao wanategemea life ambayo ni mdondo so matokeo yake ndo yakutoka na wake zawatu. kiukweli mimi kama mama kuliko nitoke na kiserengeti boi bora nikatafute zee lenzangu kieleweke ila kitoto cha nini sasa?
on a serious note natamani JKT irudi atleast watu tutapata kujua maana ya hard work na uvumilivu
wamezoea single life,wadada wa sasa ni karaha saa zingine. heri wabakie friends with benefits.khaaa! hivi kweli kizazi gani hiki? hope huu ni utani sitak kuamini ninachokisoma hapa.