Sio mbaya lakini nashangaa siku hizi mmepata wapi huo ujasiri au ndo mmekuwa wengi kutuzidi??
Sasa kama ninyi wanaume mnatukaba kwa nini sisi iwe kosa kuwakaba ninyi? Mnatuonea tu, waone vile.
vile inatokea kwa mwanaume kuwa king'ang'anizi nini mbaya ikitokea kwa mwanmke
kuna moja alinichosha kweli,tumeachana bado hailewi,yaani mpaka napita live na kufanya romance na girl mwingine mbele yake bado tu anaganda mbaya.
may be mngoniiaaaiiiii.... unajua saaana majambozi?????? mmmmh!!!! teh teh teh
may be mngonii
aaaiiiiiiiiiii!!!!!!!!!! wanini wale wooote washobokeaaaa hukoooooo wa saizi si waleeeee wa kaaleeeeeee!!!!!!!!!!! teh teh
Duh!! Ushakuwa na Mngoni nn!!!!
huyo jamaa ni balaa kwa sababu anachafua mazingira...........................na kutuachia watoto wa mtaani ambao bado wanawasaka baba zao............lolNa hawa ving`ang`nizi ni wabaya kaa chonjo akipata mimba tu unae milele huyo. Kunamdada kazaa na jamaa ameng`ang`ania ukweni hatoki na jamaa kisha mfukuza kashindwa kaamua kuhama makazi .
baada ya kumsafisha minoti mngoni wa watu sasa wadai mlikuwa mnachafuana tu.......lol........................aliniangusha akanichefuaaa!!!!!!! na alikua mngoniii wale wale wa interior!!!!!!!!!!! kuchafuana tuuuuuuuu!!!!!! Khaaaaa!!!
ndo hivyo mzeeeee....Mambo ni aje wana JF!!!Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!
Mambo ni aje wana JF!!!
Zamani wakati nakua na kujua Mapenzi nilidhani Wanaume peke yetu ndo ving'ang'anizi hata binti akikuambia hakutaki unakomaa nae hadi kieleweke lakini siku hizi Mabinti ni balaa unamwambia humtaki still anataka awe na wewe!!!!
Hivi hii ndo Haki sawa kwa wote au ndo mambo dunia ya sasa!!!!