Hivi hii dhana kwamba mwanaume ili amridhishe mwanamke kimapenzi ni lazima awe na bunduki kubwa ilitoka wapi?Au ni kweli wenye bunduki ndogo hawawaridhishi ndo mkaanza kulalama mkawapa dili watengeneza dawa za kuongeza ukubwa wa bunduki?Kama ni hivyo wasagaji wanaridhishana vipi?Au ni kutojiamini kwa wanaume ndo kumesababisha dhana hii?