Wanawake nyie ni pasua kichwa thats why Mungu ametuambia tuishi na ninyi kwa akili,huwa hamjui mnahitaji nini,mnaweza kupewa vyote lakini mkahisi something is mising!
Wanawake huwa hawajui wanachoitaji bali huwa wanaiga!
Kwa umri nilionao nimekutana pia nimeona vituko vya kutosha,wako mabinti walikuwa na watu wenye hela wakaachika wengine waliolewa na maskini wakaachika,lakini wapo waliokuwa kwenye ndoa waume zao waliwajali,waliwapenda na zaidi walipewa dozi vya kutosha lakini waliachika,kumbuka wote hawa hawakuachwa na waume zao bali wao ndo waliwaacha,Justine Timbelake aliwahi kusema mabint hawajui wanachohitaji kwa mwanaume,je ni kweli??
Sidhani kama kweli unajua walipewa dozi za kweli....hapo nakwambia acha UMBEA kwa usichokijua....
Sio suala la kuwepo au la,ni uhalisia bibie!
Sibishi chochote ila nakupa picha ya upande ambao hujabahatika kuuona!!Wanifurahisha lizzy ukweli unajulikana ndo maana ya wanaume kuhusiwa waishi nanyi kwa akili,na hilo wabisha??
Dearest mbona uliguna kwenye ile thread ingine lol!Sibishi chochote ila nakupa picha ya upande ambao hujabahatika kuuona!!
Dearest mbona uliguna kwenye ile thread ingine lol!