sixlove
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 549
- 371
mwezi mmoja baada ya kufunga ndoa, mama mmoja alimpigia binti yake simu; Na mazungumzo yao yalikuwa hivi
mama: unayaonaje maisha ya ndoa mwanangu?
binti: kama BRITISH AIRWAYS
mama hakumuelewa mwanae, kisha kesho yake ikabidi aende ofisi za british airways, then akaambiwa
kwa wiki inasafiri mara saba, na ikisafiri inapitia nchi tano, na kila safari moja inatua vituo vitatu. Mama kusikia hivyo akazimia
mama: unayaonaje maisha ya ndoa mwanangu?
binti: kama BRITISH AIRWAYS
mama hakumuelewa mwanae, kisha kesho yake ikabidi aende ofisi za british airways, then akaambiwa
kwa wiki inasafiri mara saba, na ikisafiri inapitia nchi tano, na kila safari moja inatua vituo vitatu. Mama kusikia hivyo akazimia