Mabingwa wanafanya nini nyuma ya mlango?

Straddler

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
722
191
0.JPG


Picture courtesy of Haki Ngowi Blogspot.
 
Kama unajua kusoma lugha za picha,hapo 6 anasema "Wewe mwarabu utamaliza maneno yako yoote,lakini lazima nikukaange *(((&*%% zako"
 
Wanajadiliana kuanzisha ccj 2,moja anamshawishi mwenzake ajiunge na chama kubwa,makini!CCJ
 
mhuuu! mbona mwarabu amesima kama mtu alichoshwa na siasa uchwara? naona 6 anamwambia hata mimi niko hoi na magwanda haya ya kijani natamani kaki lakini nitakwendaje bila viatu?
 
Hapo mwongeaji alikuwa RA 6 anaonekanwazi kusikiliza kwa makini story yenyewe ilikuwa ya kusutana
 
Back
Top Bottom