Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
[h=6]Kulikua kuna mabakhili wa3 wapo baharini wakishindana kuzamia na masharti yakawa hivi:
atakaenyanyuka mwanzo atawapiga ofa wale wenziwe hali yakua wote ni wabahili...
wazee wakazama baharini mpaka leo hakuna aliekuja juu kwa kuhofia kuwapiga ofa wenziwe wamekubali wafe....[/h]
atakaenyanyuka mwanzo atawapiga ofa wale wenziwe hali yakua wote ni wabahili...
wazee wakazama baharini mpaka leo hakuna aliekuja juu kwa kuhofia kuwapiga ofa wenziwe wamekubali wafe....[/h]