Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Fat and pink eeh!Duuh sijawahi kuona fat ass kama hizi
Nimeshawa mark maprimatologist humu wakiongozwa na Paka mweusi na Preta! LOL
Fat and pink eeh!Duuh sijawahi kuona fat ass kama hizi
huyu ndio yule anaesemekana haoni ninilii lake sio eeeh.....
Ndio huyuhuyu mama na hawa ni majike ambao hawajamuona Dume kwa muda mrefu hivyo huo uvimbe kwa nyuma ndio ishara kuwa wanahitaji...baadaye kidogo nitakutundikia ya Dume hapa...
Duuh sijawahi kuona fat ass kama hizi
Kama umeshaliona basi hutaambiwa, ila kama bado......... HATUKUACHI LAZIMA TUTAKUKUMBUSHA TUUNimefurahishwa, ila naomba kuanzia leo asiwepo wa kumwambia mwenzie "Nyani hahoni kundule" mmh!
duh wowowo kama wameharisha utumbo.
Huyu ndiye Nyani ambaye watu wengi wanashindwa kumtofautisha na Ngedere na hana urafiki,mara nyingi mkia wake huwa umejikunja karibu na shina lake kuelekea chini...
duh wowowo kama wameharisha utumbo.
unataka kuniambia akipewa kitu inapungua?
Akipata kitu huo uvimbe hautakuwapo ndani ya masaa 48....
Asante mkuu mambo kama haya ndiyo yanayotakiwa sasa JF maelimu ya bure wengi wetu huwa tunaenda porini na tunaona mavitu kama haya lakini tunafikiri ni aina tu ya wanyama kumbe kuna sababu ya kuwa hivyo.
endelea kumwaga vitu na kwa wanyama wengine pia kama utakuwa unapacha na maelezo kama haya
Mkuu kitalolo nashukuru kama umeliona hilo nimetoa mada hii kama majibu pale wengi waliponiuliza katika mada nyingine hasa pale niliposema "umemdhalilisha huyo sio nyani ni ngedere" ndio wengine wakataka kujua tofauti zao lakini ninashukuru wengi wamenielewa na kama unahitaji kujua habari za wanyama wengine niambie tu na kama nitakuwa na muda nadhani nitaweza kukusaidia na kwa kuanzia tu unaweza kunitoautishia hawa jamaa wawili hapa chini..
Na huyu hapa..
Hao ni wa kufugwa wapo katika Zoo,na kwa kawaida Nyani jike anapokuwa katika heat huwa dalili zinajionyesha kwa kuvimba hayo maeneo na kila anapochelewa kupata Dume ndio uvimbe huo huongezeka na kufikia katika hatua kama hii unayoiona hapo,tofauti na mwituni ambapo huwa wanaishi katika makundi wakiwa pamoja na madume hivyo ni vigumu kumuona nyani wa porini akiwa katika hali hii..
Dah! Wa kwanza ni chui,pili duma mzeiya!
Mkuu ikitokea kwa mfano hajapata kabisa dume nini hatima yake?
kwahiyo wa kwanza ni cheetah na wapili ni Leopard ?Umejaribu ila wa kwanza ni Duma na wapili ndio Chui.....