PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Nice discussion FL1.
Now you are talking!
Ni bahati mbaya sana kwamba mtoto akipewa jina la hivyo, anaandaliwa maisha ya shida sana na kurithi bila kupenda laana na mikosi katika maisha yake!
Kwa sisi tunaoenda kiroho zaidi, jina hilo litakuwa kama alama ya kudumu kwa mtoto itakayokuwa inam'haunt wherever he goes, maana limetolewa kwa baraka za Uzinzi!
Tuwe makini sana tunapotoa majina kwa watoto, maana vinginevyo tunawalaani watoto na kuwafungia milango ya neema bila kujistukia.
Any JF member never attempt that kama kweli unampenda mwanao, na pia kama ungependa apate maisha mema mbeleni!
Be Blessed pals!
Now you are talking!
Ni bahati mbaya sana kwamba mtoto akipewa jina la hivyo, anaandaliwa maisha ya shida sana na kurithi bila kupenda laana na mikosi katika maisha yake!
Kwa sisi tunaoenda kiroho zaidi, jina hilo litakuwa kama alama ya kudumu kwa mtoto itakayokuwa inam'haunt wherever he goes, maana limetolewa kwa baraka za Uzinzi!
Tuwe makini sana tunapotoa majina kwa watoto, maana vinginevyo tunawalaani watoto na kuwafungia milango ya neema bila kujistukia.
Any JF member never attempt that kama kweli unampenda mwanao, na pia kama ungependa apate maisha mema mbeleni!
Be Blessed pals!