wenye pesa nyingi basi
Kwa kawaida watu wengi wenye utajiri unatokana na dili chafu huwa hawaoi. Kama akioa basi jua vifaa vingi vinavyotumika kwa dili hizo atakuwa amehifadhi sehemu nyingine. Kwa mfano mtu ni jambazi anaiba magari, mabenki na michongo mingine ya kuua hata binadamu. Mtu huyo ana silaha za kila aina nyumbani na accessories zake, pia mtu huyo pengine anagushi na ana kila aina ya mihuri na headed papers za makampuni Tanzania. Mtu huyo atakuwa na mikutano mingi na majambazi wenzake ili kupanga kikosi kazi cha jambo fulani!! Je mtu huyo atathubutu kuoa mwanamke wa kudumu ambaye ni kiumbe dhaifu na wanaweza kukosana siku moja na ikafanya siri kubwa itoke nje?
Mifano mingi ipo sana na tusiende mbali tuanzie na Bob Sambeke, Mikataba angamizi ya Nyaga, marehemu wa Dar waliohusishwa na madawa ya kulevya (refer sakata la madawa ya kulevya bungeni).
Kwa hali yoyote ile the so called wafanyabiashara fake mabillionaire ambao hawajui uchungu wa biashara wana siri nyingi nyeusi na nyekundu kuliko damu ambazo ni hatari!!! Jua pia cirle yao na wanawake kwa uzinzi ni hatari. Kwa mantiki hii mke ni lazima kuwe na ugomvi hasa kwa mahawara na vimada maana jua mke ana haki na si ma--la--ya. Kwa hali hii kama ikitokea ugomvi kati ya mke na mume ni rahisi mke kutoa siri!!
HAWATAKAA WAOE KABISA!!!!!! NA wakioa wanavuna!!!!! Rest in Peace Bob, Nyaga, Mpakanjia et al...!!!
mbona masalio yao yanasoma sifuri?
wenzenu tunataka tuolewe ili tupunguze matatizo nyie mnataka kuoa ili mshee matatizo?
kweli interesting
wenzenu tunataka tuolewe ili tupunguze matatizo nyie mnataka kuoa ili mshee matatizo?
kweli interesting
si angekuwa hata na nyumba tatu tofauti mjini
ila asilimia kubwa inaonyesha wanaume huwa wanafanikiwa wakiwa ndani ya ndoa au?
sasa bilionea ana shida gani kwenye kukata majani na kuzoa samadi?
Mgawane umaskini sio?
hata mimi huo mpango wa kuoa kwa sasa sina.mpaka niwe 65.refer
late advocate lyaga sawaya mawalla
late babu sambeke
na wengine wengi naogopa kutaja
Hivi kweli hao watu ni mabilionea au wabongo ushamba unatusumbua??
Billionaire is a person possesses at least one billion USD , EURO or POUND. (Kwa mujibu wa oxford dictionary na wikipaedia)
Hizo kwa uchache ni trilioni moja nanusu na ushee Tanzania Shillings(kwa conversion ya USD).
uje nikuonyeshe ndoa ni nini?
wewe mkorofi jamani khaaa! unakula nyama ya nyuki nini?
Smile fedha saa nyingine sio kitu kizuri kwa mfano Mawalla alikuwa na watoto tayari kuoa ni commitment ambayo ingeweza kumzuia kugegeda mademu wengine,Babu Sambeke pia ana watoto wakubwa tu sasa ya nn aoe wakati mbunye zipo nje za kutosha.Na wewe nikuulize swali je ungekubali kuolewa na watu kama wale na unajua wana strings of women for yhe sake umeolewa na bilionea?