ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
kubebana maana yake ni nini aisee mbona cwaelewi
tafuta mtu wa chuo hostel unayemfahamu atakusaidia..
kwa haraka haraka ni kulala kitanda kimoja watu wawili..
kubebana maana yake ni nini aisee mbona cwaelewi
unaposema ni chuo cha taifa una maanisha ni cha public au??dogo mabibo hosteli ni hosteli ambazo zinapatikana nje ya chuo, mwendo wa km 2 hivi, kama utapangangiwa mabibo itakubidi uwe unapanda basi kila siku nauli ni mia tatu kwenda na kurudi 300. hosteli ni nzuri sana,. mtakaa wanne katika rum lakini udsm tunabebana kwa hiyo makuwa mara 2 yaani 8. majengo ni gorofa 3. paking kubwa, wanawake mana majengo makubwa mawili , wanaume matatu, mastars 1. kila moja uwezo ni watu 500. kubebana inakuwa 1000. kama ukipangiwa main campus, uhitaji usafiri ,lakini gharama za malazi main campus ni kubwa kukompase katika usafiri gharama za malazi mabibo ni ndogo .main campus kuna faida ya librali, madarasa mengi ya kusomea. mabibo kuna uhaba wa madarasa , hakuna generata, ila chakula ni mingi mingi maana ni mtaani. mi nimekaa mabibo miaka miwili, campus mwaka mmoja , na nakwenda campus mwaka wa pili tena. kwa hiyo dogo kama umewahi soma bweni ni kama campus 100%. na kama umesoma day ni kama mabibo 100%. vyoo vya mabibo ni vizuri na visafi. ila campus vyoo ni vichafu vichafu vichafu. namalizia. SASA DOGO ITABIDI UNIBEBE, SISI NDO WAKONGWE WA UDSM. :israel: udsm ni chuo cha taifa na ndo mana tunapiga msuli wa kufariki mtu
unaposema ni chuo cha taifa una maanisha ni cha public au??
mawazo mgando!waulize wana UDOM na SUA wanajua Kuwa UDSM ni mti mkavu kama unabisha subiri uone nani anapewa bumu baada ya cku 2 kama sio UDSM afu vyuo vingine baada ya wiki 3...serikali macho muda wote ni UDSM na wanakiogooopa
Hiyo google map haitakusaidia mdogo wangu, watu walishatumia wamechoka si unajua Ud ndo kila kitu, wanaokiponda ila tunaita "Point of self Protection" cha msingi nyie fikeni hiyo tar 1 oct.
Dogo karibu sana
Hiyo google map haitakusaidia mdogo wangu, watu walishatumia wamechoka si unajua Ud ndo kila kitu, wanaokiponda ila tunaita "Point of self Protection" cha msingi nyie fikeni hiyo tar 1 oct.
kijana karibu udsm,lakini kuna hatari ya kuanza kuvalishwa uniform pale maana akina mukandara siku hizi ukitaja revolution nasikia unatimuliwa hapohapo,hakuna demokrasia kama kipindi kile.da! sitaisahau udsm,kozi ya miaka mitatu nilisoma karibu niisome miaka mitano.ewe baba walaani mapacha watatu waliotutimua mwaka mzima nyumbani kwa kudai haki.
mawazo mgando!
kijana karibu udsm,lakini kuna hatari ya kuanza kuvalishwa uniform pale maana akina mukandara siku hizi ukitaja revolution nasikia unatimuliwa hapohapo,hakuna demokrasia kama kipindi kile.da! sitaisahau udsm,kozi ya miaka mitatu nilisoma karibu niisome miaka mitano.ewe baba walaani mapacha watatu waliotutimua mwaka mzima nyumbani kwa kudai haki.
uwezo wa kufikiri ni mdogo sana zaid ya mtoto wa la pili!!! ukikua mwili kua na akil pia...kum****vu sana wewe....Una matatizo we ni "tabula lasa" hebu kanye huko...usisahau kusoma new information za SUA,
Naomba kujua kuna umbali wa kilometa ngapi from DUCE to Mabibo Hostel.
tafuta mtu wa chuo hostel unayemfahamu atakusaidia..
kwa haraka haraka ni kulala kitanda kimoja watu wawili..
unatoka arusha sehemu gani aisee ,, hembu fanya tukutane hapa tufanye mipango ya kubebana aisee mimi mwenyewe nipo arusha hapa , ....... hembu ngoja nikucheki sasa hivi hapa...... na nikuelezee mambo yote kuhusu udsm (chuo cha taifa)