Marando ni mpiganaji wa kweli hana chembe ya kuvuruga upinzani kama mzee wa kiraracha aliyezawadiwa ubunge
Mwanamageuko una akili kwelikweli. Umewaingia wanameuzi kiujanja na tayari wengi wao wameshakubaliana nawe. Huna lolote. Wenye hekima zetu tushakujua. We hapa unataka. Wanachadema msipokuwa makini chama chenu mtakivuruga wenyewe halafu mtaanza kuwalaumu viongozi wenu kumbe mmesikiliza tu upuuzi kama huu wa kuwagawa.
Marando akishinda atapigiwa na CCM kweli lakini hiyo itakuwa kwa vile CCM si wote wanaafiki uteuzi wa dikteta Anna Makinda.