zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Siku za nyma nilisoma nyuzi humuhumu JF kuwa Mabere Marando ni mwana usalama wa taifa na alikuwa ni mmoja katika watesaji wa awamu ya kwanza, na alikuwa akiwatesa wafungwa wa kisiasa huko Mafia.
Kwa hilo na kwa kuwa ni kijana wa Ikulu, aje kutwambia yaliompata Ulimboka, kunani? Kamanda tunae ndani ya nyumba halafu tunahangaika kuupata ukweli?
Mabere jitokeze ueleze...
Kwa hilo na kwa kuwa ni kijana wa Ikulu, aje kutwambia yaliompata Ulimboka, kunani? Kamanda tunae ndani ya nyumba halafu tunahangaika kuupata ukweli?
Mabere jitokeze ueleze...