TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,282
Acheni utani jamani Mabere siyo ajenti wa TISS na wala hajawahi kuwa ajenti wa TISS.. kama makumi ya watu ambao wamekuwa wakijipitisha kuwa ni maajenti wa TISS.. ni wale wanaoitwa huku "starving artists"
sawa lakini that doesnt clean Mabere na kumfanya awe trusted!!!! How can CHADEMA welcome such a negative energy into the party??? its simple, they are desperate to score in a cricket game that that take whatever throw sent
Kusema ukweli, Mabere is not a face of opposition, he is a puppet!!