MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Mkuu Superman so far unazungumzia hypothetical nyingi sana. Hizo hypothetical zote zinatoa control nje ya Chadema kwa maana inabidi wabaki wakisubiria kama conditions zitakua nzuri. Umezungumzia kama CCM wakiwa na makundi.....je wakivunja makundi? Umezungumzia kama upinzani ukiungana.....je wasipo ungana?
Hizi habari mkuu ni sawa sawa na kwenye makundi ya mtoano kwenye mpira ambapo timu ina tegemea fulani ashindwe ndiyo labda wao wapite. Je tunaweza zungumzia concrete strategies ambazo zina weza kumpa huyu bwana mkubwa uspika bila kutegemea mpaka wengine wateleze?
Hizi habari mkuu ni sawa sawa na kwenye makundi ya mtoano kwenye mpira ambapo timu ina tegemea fulani ashindwe ndiyo labda wao wapite. Je tunaweza zungumzia concrete strategies ambazo zina weza kumpa huyu bwana mkubwa uspika bila kutegemea mpaka wengine wateleze?