mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Safi sana marando kuingiza jina. Ila hofu yangu kwa jinsi wabunge wa ccm walivyo chenge akipita wanampa hata apite kichaa watampa tu
CCM hawawezi kufanya kosa kama hilo
Atawezaje na sio mbunge?? tusaidiane hapa
We muone quinine akudunge drip manake naona ushaanza. unawezaje kumtetea chenge kuwa spika ilhali mataifa ya magharibi (ISO) walishamtuhumu na yuko kwenye black list?? sh**##^^)) zako weni marando kupitia Chadema, ana jazba, hasira na hamaki. hawezi kuwa spika wa bunge letu hili.
atanaweza kupitisha miswaada ya hasira na kutuingiza taifa ktk mitafaruku hasa kwa majirani zetu.
mfano wa kusimama kwenye majukwaa na kukashifu baadhi ya viongozi wetu ni wazi moja ya kasoro ya Mh marando.
kwani inaonyesha endapo atakwaa kiti hicho yale yajwangani na kwengine kuonekana bungeni ambapo kunaweza kuifanya tz yetu isambaratike kwa amani.
MS acha ya Marando, mie CHAKAZA kama ningepewa u Spika wa bunge hili hali nadhani ingekuwa mbaya zaidi. Wale wabunge wa CCM wanaopoteza muda wa bunge kumwaga Pumba, kuropoka yasiyo na msingi na kutetea waziwazi mafisadi baada ya kuhongwa scholarship kwa watoto wao na visenti kidogo, wallah ningekuwa spika wa kwanza duniani kuwa nashuka toka kwenye kiti na kumlamba makofi mbunge wa aina hizo. We fikiria mfano wabunge wa CCM wa 2005-2010, kwa kweli kama ni kuwachapa makofi labda ungewaacha wabunge wasiozidi 20 tuu.ni marando kupitia Chadema, ana jazba, hasira na hamaki. hawezi kuwa spika wa bunge letu hili.
atanaweza kupitisha miswaada ya hasira na kutuingiza taifa ktk mitafaruku hasa kwa majirani zetu.
mfano wa kusimama kwenye majukwaa na kukashifu baadhi ya viongozi wetu ni wazi moja ya kasoro ya Mh marando.
kwani inaonyesha endapo atakwaa kiti hicho yale yajwangani na kwengine kuonekana bungeni i.
Kwa nini unafikiri hivyo? Hujui kwamba Hata wana ccm wanahitaji mabadiliko sasa? Hujui hata wapinzani wamepigiwa kura na wana ccm?CCM hawawezi kufanya kosa kama hilo
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempendekeza wakili maarufu ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho, Mabere Nyaucho Marando kugombea nafasi ya spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtu Mmoja, CCM mpaka sasa tayari wana candiadtes 12 tofauti na miaka yote. Ushindani Mkubwa unaonekana utakuwa kati ya majina makubwa kama: Samuel Sitta; Andrew Chenge. Anna Abdalah na Anna Makinda.
Kama ushindani ukiwa mkubwa na ukaweka makundi ambayo hayavunjika, kuna hatari ya kupiga kura za chuki na kuupa upinzani ushindi.
Hata hivyo hili linaweza kutegemea na upinzani kama utakubaliana kutoa candidate moja.
Kama nilivyosema, kama muujiza huu utawezekana, then Tanzania yenye neema, ile ya Asali na Maziwa inaweza kuzaliwa!
marando hafai kabisa kuwa spika ni mtu wa majungu na ndie aliechangia kwa kiasi kikubwa kusambaratika kwa upinzani miaka ile ya 90 wakati alipokuwa na mgogoro wa kugombea madaraka yeye na lyatonga mrema!
Pili ni msaliti mkubwa kwa upinzani wakati wapinzani walikuwa na chaguo lao la mbunge wa afrika mashariki cha kushangaza huyu marando alipigiwa debe na ccm na kuibuka mshindi!!!
Sasa kama yeye ni miganaji mbona alisambaratisha nccr na baadae kukimbilia chadema tena karibia na uchaguzi?
Kama alikuwa na hamu yauspika kwanini hakugombea ubunge ktk jimbo la uchaguzi ili apate ridhaa ya wananchi na ndipo aje kugombea uspika lakini anangojea kapu maalum!!!
ni marando kupitia Chadema, ana jazba, hasira na hamaki. hawezi kuwa spika wa bunge letu hili.
atanaweza kupitisha miswaada ya hasira na kutuingiza taifa ktk mitafaruku hasa kwa majirani zetu.
mfano wa kusimama kwenye majukwaa na kukashifu baadhi ya viongozi wetu ni wazi moja ya kasoro ya Mh marando.
kwani inaonyesha endapo atakwaa kiti hicho yale yajwangani na kwengine kuonekana bungeni ambapo kunaweza kuifanya tz yetu isambaratike kwa amani.