OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Kimbunga anajua kila kitu si unamjua ni wa mrengo gani!Mwaigulu Nchemba alidaiwa kutumiwa meseji za vitisho na viongozi wa Chadema wakimtishia.Baadhi ya meseji hizo ziliwekwa hapa jamvini.Kwa uchunguzi wa CDM meseji hizo no za kuchongwa na si za kweli.Kimbunga nadhani mpaka hapo tuko pamoja.