NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Inawezekana ikawa ni ukweli ya kuwa kuna wakati kuna matatizo ya kimtandao na hivyo kufanya mabenki yetu kutotoa huduma kwa wateja.
Hata hivyo kwa utafiti wangu mdogo kwa baadhi ya mabenki kuna wakati hutumia uongo wa mtandao wakati ukweli ni kuwa hawana fedha kwenye hazina zao hasa kwa mabenki yaliyo mikoani. Hili hasa limekuwa sugu kwa maeneo nje ya na mikoa mikubwa kama Dsm, Ar na Mza lakini likzidi kwenye mikoa mingine kama Dom, Morogoro na kwingineko.
Sielewi ni kwa nini mabenki yanaruhusu mpaka hali hii itokee. Muache usanii kwani inaathiri watu ambao ni wateja wa mabenki yenu