Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,250
Nadhani kuna tatizo moja kubwa sana na hii idea.
Vyeti vya mtu mwingine havina market value! Wewe unaweza kukithamini cheti chako kwa millioni 100, good for you, ila mimi hata buku sikupi maana hakuna ninachoweza kufanya na cheti cha mtu mwingine.
Hii ni tofauti na gari au nyumba ambazo zinauzika katika soko.
Ndo maana cheti hakiwezi kukubaliwa na benki.
Vyeti vya mtu mwingine havina market value! Wewe unaweza kukithamini cheti chako kwa millioni 100, good for you, ila mimi hata buku sikupi maana hakuna ninachoweza kufanya na cheti cha mtu mwingine.
Hii ni tofauti na gari au nyumba ambazo zinauzika katika soko.
Ndo maana cheti hakiwezi kukubaliwa na benki.