Mabele Marando aliondokaje Usalama wa Taifa?

Status
Not open for further replies.
Huyu mtu hatabiriki, lakini naweza kusema kuwa if he is using Chadema, then the opposite is true a well Chadema is using him too. Mi nadhani kama kuna mutual benefit, haijalishi kwa nini yuko hapo. Ila ninachojua ni kuwa amekuwa kiungo muhimu sana ndani a Chadema kuleta habari na siri ndani ya TISS.
Kumbukeni ya kuwa hivi sasa TISS imegawanyika na Marando anawakilisha kundi moja wapo na kundi lake hivi sasa haina loyalty na serikali iliyopo.
Kuna mengi ambayo hatuyafahamu ila kwa limited knowledge tuliyo nayo hapa ni vyema tukiendelea kumwona Marando kama mtu muhimu ndani ya CHADEMA kwani ameweza kuwaletea information nyingi sana. :peace:
 
Upande wa pili wa shillingi, uwepo wa Marando utasaidi CHADEMA kujua mbinu zinazotumiwa na TISS kusambaratisha upinzani. So, kuwepo kwake ni added advantage to CHADEMA.

I dont think so.
kama kweli ametumwa kuisambaratisha CHADEMA then hawataambuli advantage yeyote.
 
Na mkiendekeza propaganda kama hizi hamtakaa muendelee hata siku moja - kila siku mtakuwa hamuaminiani na hamtaweza kuwa na mshikamano kama taifa

Kwa chama kinachokuwa kushindana na dola ni vyema kuwa na wasiwasi. Lakini hata kama Marando huyu mnayemfahamu akiondoka Chadema bado kama dhamira ya kuisambaratisha ipo itakuwepo (Na mimi naamini ipo), lakini mfumo wa Usalama huwa hauchezi bahatisha kwani wanaweza kumtumia mtu mpya kabisa na hata wale ambao waliopo na wanaoaminika kwenu Chadema.

Tofauti na mnavyodhani mie ninaemwona msambaratishaji wa Chadema ni Zitto na wala siyo Marando. Lakini kwa kuwa hofu hii ni kubwa naomba nitoe ushauri huu.

Kazi ya Usalama ni ukusanyaji wa Taarifa na uzuiaji wa Taarifa za uvunjaji wa siro za serikali kuvuja ambapo katika hili wakitekeleza kwa mfumo wan chi yetu ni lazima wakilinde chama tawala. Na kwa vile kazi yao ya mwisho ni kuendesha mapambano ya kisiri basi mapambano ya kusambaratisha vyama yapo na Chadema kwa sasa inalengwa kusambaratishwa.

Kuepuka njia hiyo kwa sasa Chadema inapaswa kupitia idara yake ya ulinzi na usalama kuwa na timu ya wataalamu ambao watafanya kazi hizi;
1. a).Ukusanyaji wa taarifa za kijasusi dhidi ya CCM.

2. b).Kuzuia mipango ya uvujishaji siri za Chadema (counter espionage).
3. c).Kuendesha Mapambano ya kisirisiri (covert operations).
Ki msingi kama chama hakiwezi kujiendesha kwa kufanya haya, kwa mfumo wa CCM na serikali itakuwa ni kazi bure kufanikiwa kushinda kwa vile utapokea wanachama mamluki na kuwaona ndiyo wanaofaa wakati hawafai na huku ukiwatimuwa wale wanaofaa ukidhani hawafai.

Nina amani Chadema wanaweza kuwa na kitengo hiki, nah ii ndiyo sababu hata E-mail za Zitto ziliweza kupatikana wakati wa vuguvugu la kuwania uongozi ndani ya Chama na hata sababu za Kafulila na wenzake kutimuliwa.

La Marando:
Kwa kawaida usalama wa Taifa akishajiingiza katika siasa anapaswa kuandika barua ya kukoma majukumu yake ya kazi na ila inakuwa mara mbili.
1. Kuacha kazi
2. Kusimama kazi kwa muda wa kipindi Fulani
Anaweza kuandika kuacha kazi, hii ikiwa na maana kuwa analipwa haki zake na mafao yanayostaili kwama mtumishi yeyote, lakini katika njia hii inaweza kuwandaliwa mpango maalum wa mtumishi kuacha kazi na akatangazwa kuwa katimuliwa au kaacha kazi lakini akawa anatumika kwa kazi maalum nab ado akawa mtumishi wa Idara.
Lakini pia anaweza kuchukua likizo ya muda maalum hata kama ni miaka 5 ua zaidi na akeleza kuwa bababu anaingia katika siasa na kule akawa anapwe Assignment maalum.

E.G: Kufuatilia mwenendo wa vyama na mipango yao kwa maana ya kubaini iwapo katika mikakati yao wanao mpango wa kupindua nchi ama kuua viongozi. Mfano katika kundi hili wapo Wabunge kama Mdhihiri, Ernest Mabina n,k ambao baada ya kuukosa ubunge na kwa umri wao wanarudi kupewa kazi tena Idarani.
Lakini wakati wakitoka hao wanapishana na wengine kama Bw. Masele (DSO) wa Geita ambaye anachukua majukumu ya Mabina kwa kuingia bungeni kama Mbunge wa Mbogwe. Kai yao ni moja kufuatilia nyendo za wabunge.
Kumbuka hao wanafanya kazi kwa siri kujua nini kinapangwa na wanajadili vipi serikali na nani wana mikakati mzizito zaidi dhidi ya serikali lakini wamejivisha miamvuli ya Ubunge na kumbe ni Usalama wa taifa na wameandika ofisini kwao kuacha kazi.
Sasa inawezekana Marando akawa aneacha kazi kweli, lakini akawa pia anaendelea na kazi hiyo, dawa ya Chadema ni kuwa na kikosi chake kama nilivyoeleza hapo juu, kwani hiyo inaweza kusaidia kupunguza MASHAKA kwa wanacham KIRUSI lakini pia kusaidia KUPATA TAARIFA ZA WAPINZANI WAO na kupanga mambo kwa kuangalia mwelekoe wa CCM huku nao wakipanga mambo kuibomoa CCM.
 
Kufanya kazi Usalama wa Taifajambo la kawaida yaani ni sawa tu na kufanya kazi asasi yoyote kama JWTZ, Polisi, TAKUKURU n.k.
wanaouliza aliachaje walitaka afanye kazi milele?

Mimi namwamini sana Marando na wala sina hofu naye, hofu inayopandikizwa na mavuvuzela wa CCM ambao inasemekana wanaandaa kupandikiza migogoro ndani ya CHADEMA ili kisambaratike kabla ya uchaguzi unaokuja 2015. Inasemekana wataanza na kumchonganisha Zitto, Marando, Mbowe na baadae wengine wengine.
Kumbukeni CCM walijaribu mara nyingi "kumharibu" Dr. Slaa na viongozi wengine wa CHADEMA kuanzia kumhonga fedha, vyeo, kumchonganisha yeye na viongozi wenzake na kilichoonekana kama mgogoro kati ya Hayati Chacha Wangwe na wenzake ilikuwa kazi ya manyang'au wa CCM ambao baada ya kifo walijitokeza hadharani.
Mimi naamini CHADEMA itapita majaribu yote na nina imani na Marando ambaye CCM wanampigia upatu kuwa ati ni Usalama wa Taifa aliyetumwa kuvuruga CHADEMA ukweli ni kwamba hata NCCR hakuwa Marando pekee aliyekosana na Dikteta Mrema bali hata kina Lamwai na wengine wengi tu. Hadi sasa walioko TLP wanaishi kwa kuburuzwa na Mrema, mi nauliza kama Marando bado yuko huko! Mheshimiwa Dr. Slaa (Rais wa mioyo yetu) endelea kushirikiana na "Vichwa" ulivyo navyo yaani timu nzima ya wasomi wa CHADEMA wenye uchungu wa dhati na umasikini wa watanzania na chuki dhidi ya rushwa. Watumie utuvushe hadi 2015 ili CCM washikishwe adabu na tuukomeshe wizi wao.
 
mnatakiwa kujiamini ndio msingi wa mafanikio kwani TISS ni taasisi inayoogopeka pasipo na sababu za msingi, wao wanafanya kazi kwa misingi yao na si wote wenye damu ya ccm kwa hiyo mnyukano wao ndani nasi nje tutasikia utofauti woa kwani ni nani asiyejua minyukano yao kati ya balozi wetu aliyetolewa UN mh MAHIGA na jackie zoka ni nani asiyejua kama mzee mwanzilishi wa chadema mtei ya kuwa kipindi cha ugavana wako alikuwa akiwasiliana nao katika utendaji wao wa kazi, ni nani asiyejua wakati wa MBOE akiwa BOT nae alikuwa akiwasiliana nao mara kwa mara na ni nani asiyejua ya kwamba ndugu wa mboe aliyewahi kufanya kazi katika kikosi cha navy naye alikuwa kwenye mazingira ambayo watu wa TISS wamejaa, kwanini basi leo kuwa na hofu kubwa kwa CHADEMA na si vipindi vingine katika maisha yao, je chama cha chadema kimeshindwa na chenyewe kupata mmoja wa wakurugenzi wa TISS kuwa pamoja nao, kama CHADEMA wameshindwa kuwa na mahusiano mazuri na taasisi nyeti kama hizi basi hawastahili kuongoza nchi. ni lazima kokote duniani chama kinachotaka kuchukua dola lazima kijijenge katika majeshi.polisi, usalama wa taifa na bot la sivyo daima itakuwa kama MGABE NA MOGANI, au KIBAKI na ODINGA
 
UWT watu wanastafuu na kuruhusiwa kufanya shughuri nyingine. Mwiko kwake ni kutoa taarifa za ndani kwa wakati ule alipokuwa anafanya kazi. Kuna wabunge wengi ndani ya CCM walikuwa UWT, mfano Dr Kitine tena aliwahi kuwa bosi pale, na alikuwa mbunge wakati wa Mkapa, sasa kuna kosa ngani marando kuwa Chadema?
Hata kikwete aliwahi kuwa UWT mbona hujamuuliza swali hilo?
UWT ni kazi kama kazi nyingine. mtu anaajiliwa na kujiondoa pia. Mbona mnataabisha enyi wataabishaji?
 
Kwa chama kinachokuwa kushindana na dola ni vyema kuwa na wasiwasi. Lakini hata kama Marando huyu mnayemfahamu akiondoka Chadema bado kama dhamira ya kuisambaratisha ipo itakuwepo (Na mimi naamini ipo), lakini mfumo wa Usalama huwa hauchezi bahatisha kwani wanaweza kumtumia mtu mpya kabisa na hata wale ambao waliopo na wanaoaminika kwenu Chadema.

Tofauti na mnavyodhani mie ninaemwona msambaratishaji wa Chadema ni Zitto na wala siyo Marando. Lakini kwa kuwa hofu hii ni kubwa naomba nitoe ushauri huu.

Kazi ya Usalama ni ukusanyaji wa Taarifa na uzuiaji wa Taarifa za uvunjaji wa siro za serikali kuvuja ambapo katika hili wakitekeleza kwa mfumo wan chi yetu ni lazima wakilinde chama tawala. Na kwa vile kazi yao ya mwisho ni kuendesha mapambano ya kisiri basi mapambano ya kusambaratisha vyama yapo na Chadema kwa sasa inalengwa kusambaratishwa.

Kuepuka njia hiyo kwa sasa Chadema inapaswa kupitia idara yake ya ulinzi na usalama kuwa na timu ya wataalamu ambao watafanya kazi hizi;
1. a).Ukusanyaji wa taarifa za kijasusi dhidi ya CCM.

2. b).Kuzuia mipango ya uvujishaji siri za Chadema (counter espionage).
3. c).Kuendesha Mapambano ya kisirisiri (covert operations).
Ki msingi kama chama hakiwezi kujiendesha kwa kufanya haya, kwa mfumo wa CCM na serikali itakuwa ni kazi bure kufanikiwa kushinda kwa vile utapokea wanachama mamluki na kuwaona ndiyo wanaofaa wakati hawafai na huku ukiwatimuwa wale wanaofaa ukidhani hawafai.

Nina amani Chadema wanaweza kuwa na kitengo hiki, nah ii ndiyo sababu hata E-mail za Zitto ziliweza kupatikana wakati wa vuguvugu la kuwania uongozi ndani ya Chama na hata sababu za Kafulila na wenzake kutimuliwa.

La Marando:
Kwa kawaida usalama wa Taifa akishajiingiza katika siasa anapaswa kuandika barua ya kukoma majukumu yake ya kazi na ila inakuwa mara mbili.
1. Kuacha kazi
2. Kusimama kazi kwa muda wa kipindi Fulani
Anaweza kuandika kuacha kazi, hii ikiwa na maana kuwa analipwa haki zake na mafao yanayostaili kwama mtumishi yeyote, lakini katika njia hii inaweza kuwandaliwa mpango maalum wa mtumishi kuacha kazi na akatangazwa kuwa katimuliwa au kaacha kazi lakini akawa anatumika kwa kazi maalum nab ado akawa mtumishi wa Idara.
Lakini pia anaweza kuchukua likizo ya muda maalum hata kama ni miaka 5 ua zaidi na akeleza kuwa bababu anaingia katika siasa na kule akawa anapwe Assignment maalum.

E.G: Kufuatilia mwenendo wa vyama na mipango yao kwa maana ya kubaini iwapo katika mikakati yao wanao mpango wa kupindua nchi ama kuua viongozi. Mfano katika kundi hili wapo Wabunge kama Mdhihiri, Ernest Mabina n,k ambao baada ya kuukosa ubunge na kwa umri wao wanarudi kupewa kazi tena Idarani.
Lakini wakati wakitoka hao wanapishana na wengine kama Bw. Masele (DSO) wa Geita ambaye anachukua majukumu ya Mabina kwa kuingia bungeni kama Mbunge wa Mbogwe. Kai yao ni moja kufuatilia nyendo za wabunge.
Kumbuka hao wanafanya kazi kwa siri kujua nini kinapangwa na wanajadili vipi serikali na nani wana mikakati mzizito zaidi dhidi ya serikali lakini wamejivisha miamvuli ya Ubunge na kumbe ni Usalama wa taifa na wameandika ofisini kwao kuacha kazi.
Sasa inawezekana Marando akawa aneacha kazi kweli, lakini akawa pia anaendelea na kazi hiyo, dawa ya Chadema ni kuwa na kikosi chake kama nilivyoeleza hapo juu, kwani hiyo inaweza kusaidia kupunguza MASHAKA kwa wanacham KIRUSI lakini pia kusaidia KUPATA TAARIFA ZA WAPINZANI WAO na kupanga mambo kwa kuangalia mwelekoe wa CCM huku nao wakipanga mambo kuibomoa CCM.
Thanks. I have found this article to be of interest
 
Labda wewe ndiyo DotCom!

Tangia 1980 nimemfahamu Marando kama Senior Official wa TISS - pole kama wewe umefahamu 1992. Hii ni timu ya watu zaidi ya 50 waliotumwa na Serikali kwenda kudhoofisha mfumo wa Vyama vingi come 1995. Siwezi kukupa details za "HOW" and "WHAT"; but I'm more than certain that MNMarando ni mvurugaji! Sina uhakika katika CHADEMA amekuwa "placed" wapi, lakini akipata access (ambacho ndicho anatafuta) na strategic plans - utaniambia kitakachotokea!

Kama mwajiita wanamageuzi basi nafikiri nyie ni wavuruga mageuzi. Hawa wanaoanzisha topic ya Zito na Marando nafikiri ni wanaCCM waliotumwa na wengi tumeingia kichwa pasipo kujua. Ni kweli Marando alikuwa usalama wa taifa lakini sio sasa hivi. Hapa kuna myths nyiingi zinaletwa kuhusu facts. Hivi wewe kusema unamfahamu Marando toka 1992 na kwamba ni kundi la watu 50 waliotumwa unafikiri ndo tukuamini kirahisi? Marando alikuwa mbunge na aliangushwa ubunge make alikosa ushirikiano toka serikali hiyo unayosema ilimtuma. Unachoongea kinaweza kuingia maskioni make sikio haifungi lakini kwenye ubongo hauingii make unachuja.

Mtuache nyie wavurugaji mpeleke hizo kazi zenu kwa makamba na Sita.
 
MARANDO alianzia NCCR baadaye NCCR _ MAGEUZI baada ya waroho akina Mapalala, Fundikira na Mtikila kuataka kusambaratisha mkakati mzima wa NCCR (National Construction for Constitution Reform) ilikiwa ni vuguvugu na sio chama cha siasa 1992. Baada ya wale wazee kuondoka na baada ya NCCR kuwa imepata umaarufu ikiwa sio rahisi kuanzisha chama kingine ndipo wakaongezea neno mageuzi na kuwa NCCR-Mageuzi. Kikiwa na waanzilishi baadhi kama ifuatavyo:- Mabere Marando (m/Kiti) Prince Bagenda (K/Mkuu) Dr. Ringo Tenga, Masumbuko Lamwai, Prof. Baregu, Daniel Nsanzunkwako, Thomas Ngawaiya, Selasin, nk. Baadaye vijana wa chuo kikuu kama James Mbatia, Anthony Komu, Mosena Nyambabe, Kaiza Buberwa, Tundu Lisu, Rugemeleza Nshala nao walijiunga baada ya machafuko ya chuo kikuu ya mwaka 1992 yaliyowafukuzisha CHuo akina Mbatia, Nyambabe, Hayati Idrisa Al nuru. Hivyo utaona vibaraka na watafuta madaraka wamengia wametoka lakini bado Marando na wenzake wana Mageuzi wameisha hama chama kimoja hadi kingine hadi CCM. Kuvuruga mkutano wa TANGA ambapo Mrema aliingia uvunguni wa meza baada ya kuzima Taa ilkiwa ni kukinusuru chama kwani Mrema kama mwenyekiti alikuwa na ajenga ya kuwafukuza wote hao niliowataja (mapinduzi) kwani kwa hulka yake ya kuburuza hawa jamaa walimstukia na kuamua kuvurumisha makonde na kuchukua documents zote na hiyo ndo ilikuwa salama yao. Hivyo Marando hawahi kuvuruga Chama chochote!!!! Mwenye hoja zaidi ya hapa aje bado nipo na nilikuwapo kwenye matukio yote hayo na ninamfahamu kwa karibu.
 
Marando amesema mwenyewe kuwa alikuwa mwajiliwa wa usalama wa taifa, sasa ni vipi aliacha kazi hiyo? Alifukuzwa? Kwa nini alifukuzwa? Alistaafu? Na alikuwa na wadhifa gani wakati anatoka huko? Je, si bado mmoja wao?

nenda pale Kijitonyama Kawaulize UWT hayo maswali yako watakuelekeza , na watakupa maji ya kunywa asali na maziwa.
 
MARANDO alianzia NCCR baadaye NCCR _ MAGEUZI baada ya waroho akina Mapalala, Fundikira na Mtikila kuataka kusambaratisha mkakati mzima wa NCCR (National Construction for Constitution Reform) ilikiwa ni vuguvugu na sio chama cha siasa 1992. Baada ya wale wazee kuondoka na baada ya NCCR kuwa imepata umaarufu ikiwa sio rahisi kuanzisha chama kingine ndipo wakaongezea neno mageuzi na kuwa NCCR-Mageuzi. Kikiwa na waanzilishi baadhi kama ifuatavyo:- Mabere Marando (m/Kiti) Prince Bagenda (K/Mkuu) Dr. Ringo Tenga, Masumbuko Lamwai, Prof. Baregu, Daniel Nsanzunkwako, Thomas Ngawaiya, Selasin, nk. Baadaye vijana wa chuo kikuu kama James Mbatia, Anthony Komu, Mosena Nyambabe, Kaiza Buberwa, Tundu Lisu, Rugemeleza Nshala nao walijiunga baada ya machafuko ya chuo kikuu ya mwaka 1992 yaliyowafukuzisha CHuo akina Mbatia, Nyambabe, Hayati Idrisa Al nuru. Hivyo utaona vibaraka na watafuta madaraka wamengia wametoka lakini bado Marando na wenzake wana Mageuzi wameisha hama chama kimoja hadi kingine hadi CCM. Kuvuruga mkutano wa TANGA ambapo Mrema aliingia uvunguni wa meza baada ya kuzima Taa ilkiwa ni kukinusuru chama kwani Mrema kama mwenyekiti alikuwa na ajenga ya kuwafukuza wote hao niliowataja (mapinduzi) kwani kwa hulka yake ya kuburuza hawa jamaa walimstukia na kuamua kuvurumisha makonde na kuchukua documents zote na hiyo ndo ilikuwa salama yao. Hivyo Marando hawahi kuvuruga Chama chochote!!!! Mwenye hoja zaidi ya hapa aje bado nipo na nilikuwapo kwenye matukio yote hayo na ninamfahamu kwa karibu.
thank U, ILA NILITAMANI KUPATA MAJINA YA KAMATI KUU YA NCCR Mageuzi wakati wa mkutano huo wa Mkonge Hotel Tanga
 
Ukweli kuhusu Mabere Marando: Mpiganaji huyu ni rafiki yangu wa siku nyingi. Ni kweli alifanya kazi Usalama wa Taifa na aliacha kazi kwa hiari yake mwenyewe pale alipolazimishwa kuwa mwanachama wa CCM. Aliamini na bado anaamini kuwa mwanachama wa chama cha siasa ni hiari ya mtu. Yeye hakuwa anaafiki mambo mengi sana ya CCM na ndio maana alishiriki kikamilifu katika kuasisi mageuzi nchini. Wakati wa vuguvugu lile la mageuzi tulikutana mara nyingi na niliweza kumfahamu kwa undani zaido ni mtu wa aina gani. Wakati ule anajivua uenyekiti wa NCCR-Mageuzi na kumkaribisha Mrema aliamini kwamba mwana-CCM huyo wa zamani amejiunga na NCCR kwa nia njema. Kumbe aliingia ili kukisambaratisha chama, akishirikiana na Prince Bagenda. Marando na wapiganaji wengine wa wakati huo kama Masumbuko Lamwai, James Mbatia na Ndimara Tegambwage walipambana vikali kuhakikisha kuwa wanamng'oa Mrema. Hata hivyo, NCCR-Mageuzi kiliingiliwa na mashushushu wengi sana baadaye ili kukisambaratisha. Lakini Mabere Marando ni mpiganaji wa kweli na ni mtu anayependa mabadiliko. Sikushangaa pale alipotinga Chadema kumpiga tafu mpiganaji mwingine - Dr Slaa.
 
Kila chama cha siasa UWT lazima wawemo utake usitake, ila ni juu yako namna ya kuwatumia. Jiulize mengi ambayo Dr. Slaa anayefumua atayapataje bila kuwa na UWT? Mchezo mchafu wa siasa katika uchaguzi utaujuaje kama huna UWT? Usipotumia vizuri huyo ndio maana yake uko mfupi wa upeo wa kufikiri na hapo kabla ya kuong'oka atawasambaratisha kama hamna akili timamu ya kujilinda. NCCR Mageuzi hawakuwa na akili nzuri ya kuwatumia hawa wa UWT vinginenevyo wangefika mbali. La pili vigogo wote walikuwa wanachama wa UWT hapo kulikuwa na mgongano fulani ndo maana kulitokea mkorogano. Unaona sasa mengi ambayo Chadema wameyapata na matunda yake ndo haya hapa leo tuna Wabunge 22 na tunasubiri bado wa kuteuliwa.:israel:
 
Nimewahi kusikia hawa watu huwa wanatumika hata baada ya kustaafu,na ukumbuke ni amri.Je haitupi wasiwasi na UWT uliogeuka kuwa UWC(Usalama Wa CCM) ukawa na mikono kwenye vyama vya upinzani kupitia watu kama Marando?NCCR palitokea mgogoro kikadhoofu sana,naomba mwenye taarifa za utendaji wake,kama alihusika na migogoro au la,na kivipi kwa wakati akiwa NCCR pia kilichomtoa huko ni nini.Nina wasiwasi naye saana.
Marando kwanza alikorofishana na Mrema ambaye awali alimpisha uenyekiti wa chama cha NCCR. Akiwa katibu mkuu chini ya Mrema na baadaye chini ya Marehemu Maguto (mwenyekiti wa tatu wa NCCR) alikula hela nyingi tu ya ruzuku ya chama hicho. Ulaji huo ndio uliosababishwa ashindwe na Mbatia mwaka 2000 wakati akijaribu kurejea katika nafasi ya uenyekiti. Baada ya kushindwa kurejea katika kiti chake alikataa kumpa ushirikiano mwenyekiti mpya (hasira za kisiasa hizo) na akawa akiwashawishi wafuasi wake kukihama chama, hadi hapo yeye mwenyewe alipohama.
 
NCCR (National Construction for Constitution Reform) ilikiwa ni vuguvugu na sio chama cha siasa 1992. .
Sahihisho,
Neno Construction linatumika katika NCCR-Mageuzi kama ilivyo sasa(yaani National Convention for Construction and Reform-Mageuzi), ile NCCR ambayo haikuwa chama, iliitwa National Commettee for Constitutional Reform. Ambayo agenda yake kuu ilikuwa kudai mabadiliko ya katiba, kimsingi hadi leo, dai la katiba mpya ndio agenda ya msingi ya NCCR-Mageuzi, ingawa hata vyama vingine vinayo.
 

Theories!
Haufahamu ulichoandika hapo juu (red/bold)... Inawezekena umesoma Ukurasa wa kwanza wa "Mission Statement ya TISS"!

Pamoja sana Mkuu
Tatizo hapa jamvini ni ubishi tu ubishi tu - MN Marando bado ni mwajiriwa wa TISS - kama unakataa kajinyonge UFE!


Kanye Ulale - A piece of sh*%&

Labda wewe ndiyo DotCom!
Tangia 1980 nimemfahamu Marando kama Senior Official wa TISS - pole kama wewe umefahamu 1992. Hii ni timu ya watu zaidi ya 50 waliotumwa na Serikali kwenda kudhoofisha mfumo wa Vyama vingi come 1995. Siwezi kukupa details za "HOW" and "WHAT"; but I'm more than certain that MNMarando ni mvurugaji! Sina uhakika katika CHADEMA amekuwa "placed" wapi, lakini akipata access (ambacho ndicho anatafuta) na strategic plans - utaniambia kitakachotokea!
Duh mwenzangu Baba Enock, yaonekana una chuki binafsi kubwa sana na Marando. Hebu rudia kusoma michango yako yote kumhusu Marando na ujiulize kama kweli unatumia hata kabusara kadogo katika majibu yako. Naanza kuwa na wasi wasi kuwa watu kama ninyi yawezekana ndio mnatumiwa bila kujua kwa lengo la kuisambaratisha Chadema.

Kweli unataka tuamini kuwa mwana mageuzi makini anaweza kukubali kufanya kazi chini ya Mrema ? Je, TLP sasa ikianza kuwaka moto na kusambaratika, tutamtafuta wa kumlaumu ? Baba Enock punguza jazba, unakumbuka yalompata mwanzilishi wa TLP baada ya Mrema kutinga huko ? Amini usiamini Marando ni tishio zaidi kwa serikali ya CCM.

Mwisho I really hope for heavens sake kwamba mwanao Enock hapati nafasi ya kusoma haya unayoyaandika humu, duh !
 
Kwa chama kinachokuwa kushindana na dola ni vyema kuwa na wasiwasi. Lakini hata kama Marando huyu mnayemfahamu akiondoka Chadema bado kama dhamira ya kuisambaratisha ipo itakuwepo (Na mimi naamini ipo), lakini mfumo wa Usalama huwa hauchezi bahatisha kwani wanaweza kumtumia mtu mpya kabisa na hata wale ambao waliopo na wanaoaminika kwenu Chadema.

Tofauti na mnavyodhani mie ninaemwona msambaratishaji wa Chadema ni Zitto na wala siyo Marando. Lakini kwa kuwa hofu hii ni kubwa naomba nitoe ushauri huu.

Kazi ya Usalama ni ukusanyaji wa Taarifa na uzuiaji wa Taarifa za uvunjaji wa siro za serikali kuvuja ambapo katika hili wakitekeleza kwa mfumo wan chi yetu ni lazima wakilinde chama tawala. Na kwa vile kazi yao ya mwisho ni kuendesha mapambano ya kisiri basi mapambano ya kusambaratisha vyama yapo na Chadema kwa sasa inalengwa kusambaratishwa.

Kuepuka njia hiyo kwa sasa Chadema inapaswa kupitia idara yake ya ulinzi na usalama kuwa na timu ya wataalamu ambao watafanya kazi hizi;
1. a).Ukusanyaji wa taarifa za kijasusi dhidi ya CCM.

2. b).Kuzuia mipango ya uvujishaji siri za Chadema (counter espionage).
3. c).Kuendesha Mapambano ya kisirisiri (covert operations).
Ki msingi kama chama hakiwezi kujiendesha kwa kufanya haya, kwa mfumo wa CCM na serikali itakuwa ni kazi bure kufanikiwa kushinda kwa vile utapokea wanachama mamluki na kuwaona ndiyo wanaofaa wakati hawafai na huku ukiwatimuwa wale wanaofaa ukidhani hawafai.

Nina amani Chadema wanaweza kuwa na kitengo hiki, nah ii ndiyo sababu hata E-mail za Zitto ziliweza kupatikana wakati wa vuguvugu la kuwania uongozi ndani ya Chama na hata sababu za Kafulila na wenzake kutimuliwa.

La Marando:
Kwa kawaida usalama wa Taifa akishajiingiza katika siasa anapaswa kuandika barua ya kukoma majukumu yake ya kazi na ila inakuwa mara mbili.
1. Kuacha kazi
2. Kusimama kazi kwa muda wa kipindi Fulani
Anaweza kuandika kuacha kazi, hii ikiwa na maana kuwa analipwa haki zake na mafao yanayostaili kwama mtumishi yeyote, lakini katika njia hii inaweza kuwandaliwa mpango maalum wa mtumishi kuacha kazi na akatangazwa kuwa katimuliwa au kaacha kazi lakini akawa anatumika kwa kazi maalum nab ado akawa mtumishi wa Idara.
Lakini pia anaweza kuchukua likizo ya muda maalum hata kama ni miaka 5 ua zaidi na akeleza kuwa bababu anaingia katika siasa na kule akawa anapwe Assignment maalum.

E.G: Kufuatilia mwenendo wa vyama na mipango yao kwa maana ya kubaini iwapo katika mikakati yao wanao mpango wa kupindua nchi ama kuua viongozi. Mfano katika kundi hili wapo Wabunge kama Mdhihiri, Ernest Mabina n,k ambao baada ya kuukosa ubunge na kwa umri wao wanarudi kupewa kazi tena Idarani.
Lakini wakati wakitoka hao wanapishana na wengine kama Bw. Masele (DSO) wa Geita ambaye anachukua majukumu ya Mabina kwa kuingia bungeni kama Mbunge wa Mbogwe. Kai yao ni moja kufuatilia nyendo za wabunge.
Kumbuka hao wanafanya kazi kwa siri kujua nini kinapangwa na wanajadili vipi serikali na nani wana mikakati mzizito zaidi dhidi ya serikali lakini wamejivisha miamvuli ya Ubunge na kumbe ni Usalama wa taifa na wameandika ofisini kwao kuacha kazi.
Sasa inawezekana Marando akawa aneacha kazi kweli, lakini akawa pia anaendelea na kazi hiyo, dawa ya Chadema ni kuwa na kikosi chake kama nilivyoeleza hapo juu, kwani hiyo inaweza kusaidia kupunguza MASHAKA kwa wanacham KIRUSI lakini pia kusaidia KUPATA TAARIFA ZA WAPINZANI WAO na kupanga mambo kwa kuangalia mwelekoe wa CCM huku nao wakipanga mambo kuibomoa CCM.

Thanks. I have found this article to be of interest

Kaa la Moto: Nakushukuru pia. Hii ndiyo njia pekee ya kuondoa mashaka, hata wakimuondoa Marando wanajuaje kama wamo wakina Marando wasiojulikana? jibu langu ni kujiandaa tu kama nilivyoeleza hapo. Na wala hakuna haja ya kurumbana na kutafutana ubaya.
 
Heshima kwako PAS,

Mkuu sina hakika sana kama Marando kapewa assigment ya kuisambatratisha CHADEMA,mara nyingi watu wa system wanatumia hali ya mambo ya wakati husika kufanikisha mipango yao.Mfano CHADEMA wakati huu wana vita ya chini chini ya kugombea nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni Zitto Kabwe naibu katibu mkuu na Mwenyekiti Freeman Mbowe wanaweza kusababisha yaliyotokea NCCR Mageuzi yajirudie tena.Rejea tena bandiko langu kazi kubwa ya UWT kipindi hiki ni kusambaratisha upinzani Marando yuko tena kwenye chama kinachoitia hofu CCM akifanikiwa tena anaweza kufananishwa na yule kachero mashuhuri sana nchini Israel Bwana Eli Cohen.

Tanzania ya leo especially walio wananchama wa CHADEMA watakubali ushenzi uliofanyika kwa NCCR V/S Marando. Naamini watanzania mmeshuhudia jinsi watu walivyogangamala vituoni hadi matokeo ya ubunge wa baadhi ya majimbo yaliyokuwa yanachakachuliwa wakatangaza ushindi kwa CHADEMA.

Hilo ni onyo kwa Marando kama atakuwa na hiyo fikra hivi leo. Roho yake itakuwa mali ya watu wenye hasira na wapenda mageuzi ya kweli. Ajaribu tu ataona utamu wa kuchezea haki za watu.
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom