Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Hivi UDA bado wanamiliki mabasi haya? Angalau moja linaloonekana barabarani. Nimekumbuka tu, yalikuwa maarufu sana in streets of down town Dar as well as the outskirts during 70's and 80's. Does anyone got a photo please,aweke hapa tujikumbushe!