Mabasi yaendao kasi na huu mradi wa treni hapa jijini

kwamtoro

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
4,922
3,234
Upi ni sululisho sahihi wa kupunguza kero na kutokomeza kabisa usumbufu wa usafiri toka katikati ya jiji la Dar es salaam.

Je miundombinu ya reli ifanikishwe kuwa na reli ya kuelekea mbagala na nyingine Tegeta toka katikati ya jiji. Kutakuwa na ulazima kweli wa mradi wa miaka nenda rudi wa mabasi yaendao kasi

 
Upi ni sululisho sahihi wa kupunguza kero na kutokomeza kabisa usumbufu wa usafiri toka katikati ya jiji la Dar es salaam.

Je miundombinu ya reli ifanikishwe kuwa na reli ya kuelekea mbagala na nyingine Tegeta toka katikati ya jiji. Kutakuwa na ulazima kweli wa mradi wa miaka nenda rudi wa mabasi yaendao kasi

Mfano wa stand za magari ya mwendo kasi
 

Attachments

  • MWENDO KASI.jpg
    MWENDO KASI.jpg
    37.8 KB · Views: 111
@kwa mtoro, nilikuwa na mjadala huu majuzi na mtu. Nimejiuliza kulikuwa na haja ya kufurumua vibarabara vyetu kuongeza njia za mabasi yaendayo kasi wakati kuna idea ya treni? Ingeweza kuwa investment kubwa na ya longterm kuongeza reli na kuimarisha feeder roads tu.

Anyways, najua kutengeneza barabara ya single lane kwa 1 km ni around 1 b tshs. Kutengeneza reli kwa 1 km ina gharimu sh ngapi?
 
mi nadhani sulhisho la kupunguza foleni ni pamoja na kutengeneza good network ya bara bara mjini.... then wakiweka treni toka posta mpaka tegeta na nyingine toka ubungo hadi mbezi analog... then nyingine hadi mbagala tutamaliza kabisa usumbufu wa usafiri maana watu wengi watapaki magari yao na kugombani kwa hudumu kutapungua
 
mi nadhani kwa upande wa tegeta au tuseme hadi bagamoyo ingejengwa pantoni ambayo ingeambaa along the coast hadi posta na so kupunguza msongamano wa magari along ally hassan mwinyi na bagamoyo roads.
Ni maoni tu jamani and i stand to be correctd
 
Katika miji mikubwa si rahisi hata kidogo kupata njia moja ikawa ndio dawa ya kutokomeza kero za usafiri.

Kunahitajika treni zitakazochukua watu kutoka viunga vya mji na kuwafikisha kwenye sehemu za kibiashara na uchumi lakini pia kunahitajika mabasi yatakayoweza kuwa na vituo vifupi fupi zaidi, ambayo yatasaidia kurahisisha kufanya shughuli ndani ya mji wenyewe.
 
@kwa mtoro, nilikuwa na mjadala huu majuzi na mtu. Nimejiuliza kulikuwa na haja ya kufurumua vibarabara vyetu kuongeza njia za mabasi yaendayo kasi wakati kuna idea ya treni? Ingeweza kuwa investment kubwa na ya longterm kuongeza reli na kuimarisha feeder roads tu.

Anyways, najua kutengeneza barabara ya single lane kwa 1 km ni around 1 b tshs. Kutengeneza reli kwa 1 km ina gharimu sh ngapi?

Huduma zote zinapaswa kuwepo...ila kwa habari ya train inabidi tuanze kufikiria treni ya kasi "Metro", na wala tusiweke fikra zetu kwenye gogo la TRL au TAZARA. Suala la kutandaza mtandao wa reli za Kigoma hapa mjini hiyo itakua ni akili ndogo hata kama gharama yake iwe ndogo kama kulima tuta la mchicha.
Kwa sasa tuache treni ifanye kazi kama mpango wa muda mfupi wakati huo tujiwekee malengo ya kuwa na underground metro trains.
 
Huduma zote zinapaswa kuwepo...ila kwa habari ya train inabidi tuanze kufikiria treni ya kasi "Metro", na wala tusiweke fikra zetu kwenye gogo la TRL au TAZARA. Suala la kutandaza mtandao wa reli za Kigoma hapa mjini hiyo itakua ni akili ndogo hata kama gharama yake iwe ndogo kama kulima tuta la mchicha.
Kwa sasa tuache treni ifanye kazi kama mpango wa muda mfupi wakati huo tujiwekee malengo ya kuwa na underground metro trains.
Mkuu watu8, Nakubaliana na mpango wako wakufikiri mbali, wakati usafiri huu wa (gari moshi), sijui ya umeme inaitwaje mtanisahihisha ukiwa ndio usafiri bei rahisi duniani hapa kwetu itakushangaza kidogo. Nachelea kusema hata mipango ya muda mrefu yakuandaa vyanzo vya nishati ya umeme haipo. Metro train inahitaji Terabites of joules za umeme kujiendesha, wakati sisi hata wa birika lakuchemshia maji unatushinda.

 
Mkuu watu8, Nakubaliana na mpango wako wakufikiri mbali, wakati usafiri huu wa (gari moshi), sijui ya umeme inaitwaje mtanisahihisha ukiwa ndio usafiri bei rahisi duniani hapa kwetu itakushangaza kidogo. Nachelea kusema hata mipango ya muda mrefu yakuandaa vyanzo vya nishati ya umeme haipo. Metro train inahitaji Terabites of joules za umeme kujiendesha, wakati sisi hata wa birika lakuchemshia maji unatushinda.


hahaha...sasa si ndio inabidi tubadilike mkuu, sisi si ndio tumegundua tuna Uranium huko kusini...
 
hahaha...sasa si ndio inabidi tubadilike mkuu, sisi si ndio tumegundua tuna Uranium huko kusini...
Mkuu, usiseme kwa nguvu mambo ya Urani ni mazito, kwanza sheria yakutupa taka za Urani unaijua?
Sisi labda tukomae na kaa letu la mchuchuma liganga, vyura wa kihansi na maji yasiojaa kila siku, na mabo ya geothermal.
 
Mkuu watu8, Nakubaliana na mpango wako wakufikiri mbali, wakati usafiri huu wa (gari moshi), sijui ya umeme inaitwaje mtanisahihisha ukiwa ndio usafiri bei rahisi duniani hapa kwetu itakushangaza kidogo. Nachelea kusema hata mipango ya muda mrefu yakuandaa vyanzo vya nishati ya umeme haipo. Metro train inahitaji Terabites of joules za umeme kujiendesha, wakati sisi hata wa birika lakuchemshia maji unatushinda.


honestly umetisha mkuu,
ila kiukweli mi bado cjaelewa huu mradi wa rapid bus utakuaje, alafu ctak m2 aniambie hela inayotumika ni kiac gan nahic kichwa kitaniuma,
 
Back
Top Bottom