kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Upi ni sululisho sahihi wa kupunguza kero na kutokomeza kabisa usumbufu wa usafiri toka katikati ya jiji la Dar es salaam.
Je miundombinu ya reli ifanikishwe kuwa na reli ya kuelekea mbagala na nyingine Tegeta toka katikati ya jiji. Kutakuwa na ulazima kweli wa mradi wa miaka nenda rudi wa mabasi yaendao kasi
Je miundombinu ya reli ifanikishwe kuwa na reli ya kuelekea mbagala na nyingine Tegeta toka katikati ya jiji. Kutakuwa na ulazima kweli wa mradi wa miaka nenda rudi wa mabasi yaendao kasi