VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katikati ya mwaka jana,Benki ya Maendeleo ya Jamii(CRDB) ilitoa mabasi kadhaa kwa ajili ya kurahisisha au kupunguza adha ya usafiri kwa wanafunzi katika jiji la Dar es Salaam.Mabasi haya yalikabidhiwa kwa Manispaa husika.Yalitakiwa kutoza sh 150 na kupandisha wanafunzi tu.Yalitumika kwa muda mfupi.Sasa hayaonekani mara kwa mara.
Je,CRDB wameyachukua mabasi yao? Je,Serikali imeyafisidi?
Je,CRDB wameyachukua mabasi yao? Je,Serikali imeyafisidi?