Mabasi mapya ya UDA

Hizo Treni za Mwakyembe zinafika maeneo yote ya Jiji? Engmolera
 
Last edited by a moderator:
Hapo UDA nawasifu japo wamechelewa, kuachia usafiri kwa 100% watu binafsi ni serikali kukosa fikra ni hatari sana wakigoma uzalishaji unazorota. Wayalete hizi daladala za vigogo zinatukera sana, wanakiburi, matusi, wacha wapaki pembeni wash***z sana hawa.
UDA, TRENI, MABAYA FASTA FANYENI CHAP TUNANYANYASWA SANA NA MADALADALA YA VIGOGO!!!
 
..... yatakuwa ya ruzuku,

kampuni iliyo shindwa kujiendesha sababu ya ufisadi!!!
 
labda tatizo la usafiri litapungua manake yanaonekana yanauwezo wa kubeba abiria wengi kuliko daladala nyingine zilizopo.
Na tren za mwakyembe zitakapo anza, then na mabasi ya mwendo kasi nadhani tatizo litaisha kabisa.

NA vile vipanya vitatoweka hatimae baada ya paka wakubwa kuingia mjini, binafsi sina chuki na vipanya ila wale madereva wake ni wasababishi nambari wani wa ajali , na mengi yao ni ya wabunge na wanene, hata wakikamatwa ni kazi bure, wakikugonga imekula kwako !
 
Yapo kama elfu hivi.....

Nchi hi taabu kwelkwel! Barabara za kupitisha mabasi makubwa na yaendayo kasi ndo kwanza zinaanza kujengwa, mwekezaji feki wa UDA analeta vijibasi vyake (Elfu?). Mara kumi angeleta mabasi makubwa ili kuondoa hizo Coaster, DCM, Journeys and the likes! Barabara zenyewe ndo hizo hizo fiiinyuu! mabasi haya yatazidisha msongamano wa magari jijini.
 
Hapo UDA nawasifu japo wamechelewa, kuachia usafiri kwa 100% watu binafsi ni serikali kukosa fikra ni hatari sana wakigoma uzalishaji unazorota. Wayalete hizi daladala za vigogo zinatukera sana, wanakiburi, matusi, wacha wapaki pembeni wash***z sana hawa.
UDA, TRENI, MABAYA FASTA FANYENI CHAP TUNANYANYASWA SANA NA MADALADALA YA VIGOGO!!!

Hapo kwenye RED! Kwa taarifa yako, hata hiyo UDA kauziwa mtu binafsi!
 
......... Yalaaaaah ....... Kama utawala utakuwa ule ule, sawa na kuwaachia nguruwe shamba linalongoja kuvunwa, swala la usafiri wa umma linapaswa luwa mikononi mwa mashirika yanayoongozwa na serikali, pata picha ukiibinafsisha zile panton za pale kigamboni ...........
 
......... Yalaaaaah ....... Kama utawala utakuwa ule ule, sawa na kuwaachia nguruwe shamba linalongoja kuvunwa, swala la usafiri wa umma linapaswa kuwa mikononi mwa mashirika yanayoongozwa na serikali, pata picha ukiibinafsisha zile panton za pale kigamboni .........
 
Wazungu wanatushauri eti serikali isifanye biashara, ikatufanya yuze UDA , mbona wenyewe wazungu serikali zao zinafanya biashara na Serikali zetu za kiafrika?
 
Back
Top Bottom