Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
ni miaka michache imepita baada ya serikali kupata mabasi kutoka kwa Benki ya CRDB na makampuni mengine kwa ajili ya wanafunzi... Sasa yamekuwa kitendawili hayaonekani wala wananchi hawajui yalipo... yalikwenda wapi?? peoplez' power tusaidieni kupata ukweli wa jambo hili... huu mfumo wa magari yaendao kasi wanatufanya tuyasahau haya magari kwa ajili ya wanafunzi.