Katika hali ya kuenzi mwalimu JK Nyerere wana Jf inatubidi kuandaa mabango yatakayofikisha ujumbe murua kwa walioshindwa kumenzi Mwalimu kwa vitendo.Wanandugu tusaidieni katika hili.
Bango NO.
1.Elimu bure mpaka Chuo Kikuu inawezekana -Jk Nyerere alionyesha njia.
2.Mafisadi 31/10/2010 ndiyo mwisho -Mwalimu alipambana mpaka siku ya umauti
3.......
Jf Karibuni
Bango NO.
1.Elimu bure mpaka Chuo Kikuu inawezekana -Jk Nyerere alionyesha njia.
2.Mafisadi 31/10/2010 ndiyo mwisho -Mwalimu alipambana mpaka siku ya umauti
3.......
Jf Karibuni