Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Yale mabango yaliomwaga kila kona ya mji na kukera kila anaepita si mtoto waa mkubwa yakiwa na mapicha ya ukubwani /utototni/ ya rais kikwete sasa yameanza kuondolewa rasmi...mabango haya yalianza kufumuliwa barabara jangwani jana na kuhitimisha yale matatizo yaliokuwepo