real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Habari wakuu,
Katika kuperuzi mitandaoni nikaona kuna mabanda ya kisasa yanayoitwa chicken cages ambayo mayai hujikusanya yenyewe na kuyasafisha ni kazi rahisi.
Naomba msaada ni wapi wa kuyapata, au sehemu ambayo wanauza pembejeo za ufugaji kuku?
Nipo Dar es salaam..
Katika kuperuzi mitandaoni nikaona kuna mabanda ya kisasa yanayoitwa chicken cages ambayo mayai hujikusanya yenyewe na kuyasafisha ni kazi rahisi.
Naomba msaada ni wapi wa kuyapata, au sehemu ambayo wanauza pembejeo za ufugaji kuku?
Nipo Dar es salaam..