Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa mabalozi wetu katika nchi za kislamu huwa ni waislamu tu. Ingawa hakuna nchi inayojitambulisha kama nchi ya Kikristo, ila balozi wetu Italia huwa pia ni balozi katinka nchi ya Vatcan, ambayo ni ya kikristo. Kwanini hekima inayotumika kuteua mabalozi katika nchi za kislamu kama saudia nk isitumike kuteua mabalozikatika nchi kama Italy, Enland nk?