Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Kweli Tanzania ni kisiwa cha amani na utulivu!
Wangeteuliwa john, michael, frank ungesema wanasifa stahiki kwani wameenda shule mburula mkubwa wewe chuki zenu dhidi ya majina issa, rajabu zitaisha lini? jaribu kuangalia tanzania ina mabalozi wangapi wa upande wako na wangapi wasio wa upande wako.