...Juzi juzi ubalozi wetu wa Russia dari lilianguka hiyo ndio aibu ya mwaka...Balozi kakoswa koswa kuangukiwa na dari.
kuna mtu anasema watu wanamuonea wivu MEMBE
...Juzi juzi ubalozi wetu wa Russia dari lilianguka hiyo ndio aibu ya mwaka...Balozi kakoswa koswa kuangukiwa na dari.
lakini kiukweli balozi zetu zinatia aibu sana niliingia beiljing china huwezi amini kama ni ubalozi wetu yaani ni aibu sana. yaani mpaka nyasi mlangoni sijui wameshindwa hata kuajili mtu wa kufanya usafi kwa mazigira ya nje. balozi zetu ndio nchi nchi yetu tukiwa ughaibuni ila ukweli huwezi amini kama ni balozi za tanzania ninayotoka au la!
Sasa badala ya kutesea kwenye misitu ya pande mmebadilishia kwenye balozi
Kwahiyo ni zamu ya mabalozi kuteswa kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!Kutesa kwa zamu.
Kwahiyo ni zamu ya mabalozi kuteswa kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!
Halafu ndio wajute tena? Hivi umesoma tittle ya hii thread au umeishobokea Kama kawaida ya magambaHujui Kiswahili?
Wanao tesa kwa zamu hapo ni mabalozi.