Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Hawa mabalozi inabidi kuwa karibu nao kwa upole na urafiki mzuri kwani wana siri nyingi wanazojua hawa wanamagamba kutumia kuiba kura
Aaah! kama ni hivyo basi poa. Kuna skendo la RA na wapinzani, litatolewa muda si mrefu. Politics is a dirty game,unadhani RA na wafuasi wake wamefurahia matokeo?Si lazma wawe viongozi kuielezea jamii yaliyojiri uzalendo tu unatosha ! Safi sana