Mabalozi 18 wameamua kukihama CCM kwa kile walichodai ni ubadhirifu wa resources isivyohalali wakati wa uchaguzi ikiwa ni pamoja na rushwa. Hawajaamua wanahamia chama gani bado but CDM yawezakuwa kimbilio. Walitoa mfano wa rushwa kuwa ni katika mtaa wa KOKOTO ambapo laki tano zilitolewa kwa watu 48 na iliposhindikana kugawiana kwa haki ndio siri zikaanza kuvuja, wanadai pesa zilizomwaga zilikua kufuru lakini pia walilazimishwa kuvunja sheria ili kulinda maslahi. Sijui kama CCM watafika
Source: WAPO RADIO
mabalozi 18 wa ccm wa igunga wamejivua gamba.wamesema ccm imeshinda kwa sababu walikuwa wanatoa rushwa na ushahidi upo na wanaeleza pia jinsi m/kiti wao alivyokua anasambaza 45mil.wasema ijumaa ijayo watatangaza wanaenda chama gani.
wakati huo huo aliyekua mgombea wa ubunge kupitia cuf kasema hatagombea tena kwa sababu hana hela.anasema angekua na hela angeshinda.anasema kura zake 9000 zimenunuliwa na ccm.
source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
MY TAKE;
hela za rushwa zinaisambalatisha ccm.mia
Unaweza kuona jinsi gani inchi yetu ilivyokosa uzalendo kuanzia magogoni hadi kwa mjumbe wa nyumba kumi kumi. Unadhani tutaweza kuurudisha uzalendo kwa kuendelea kujipendekeza kwa hawa wazee wetu wa CCM! Tusahau.
Ni kuamua liwalo na liwe, 2015 ni mbali sana ila kwa vile wengi wetu bado tunaona shida tulizo nazo hazijasababishwa na serikali yetu, basi ngoja tuendelee kuelemishana kwanza.
mabalozi 18 wa ccm wa igunga wamejivua gamba.wamesema ccm imeshinda kwa sababu walikuwa wanatoa rushwa na ushahidi upo na wanaeleza pia jinsi m/kiti wao alivyokua anasambaza 45mil.wasema ijumaa ijayo watatangaza wanaenda chama gani.
wakati huo huo aliyekua mgombea wa ubunge kupitia cuf kasema hatagombea tena kwa sababu hana hela.anasema angekua na hela angeshinda.anasema kura zake 9000 zimenunuliwa na ccm.
source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
MY TAKE;
hela za rushwa zinaisambalatisha ccm.mia
mgombea pekee kupitia chama cha kafu amesema hagombei tena ubunge eti yeye ni masikini hawez kuhonga kama ccm ,
hata mtaji wake 11elfu umenunuliwa na ccm.
Chanzo cha habari wapo fm.
Je mnamsikitia au amestahili?
Mkuu hiyo inaitwa killing softly rather than die slowly.Kuna siku niliandika humu jamvini kuwa uchaguzi ukiisha wanaigunga wataachwa na njaa zao wakati wenyewe wanakula bata dom,hao mabalozi hawana lolote ni kwamba walipewa ahadi hewa,wametumika kugawa mahindi na maji,watu wamechukua jimbo wao wamebaki wanaota jua.nitawashangaa sana kama watahama chama,wasubiri miaka 4 ya kazi waliyoifanya ipite.
Hii inaitwa Die slowly!
mabalozi 18 wa ccm wa igunga wamejivua gamba.wamesema ccm imeshinda kwa sababu walikuwa wanatoa rushwa na ushahidi upo na wanaeleza pia jinsi m/kiti wao alivyokua anasambaza 45mil.wasema ijumaa ijayo watatangaza wanaenda chama gani.
wakati huo huo aliyekua mgombea wa ubunge kupitia cuf kasema hatagombea tena kwa sababu hana hela.anasema angekua na hela angeshinda.anasema kura zake 9000 zimenunuliwa na ccm.
source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
MY TAKE;
hela za rushwa zinaisambalatisha ccm.mia
Baada ya ccm kuonja joto la jiwe Igunga, hakuna atakayevuliwa gamba tena. EL na AC wataendelea kupeta kama kawa.Watoe ratiba ya Bariadi kwa Chenge na Monduli mechi zihamie na huko pia baada ya rasharasha ya Igunga.
ww umejua leo!!!mbona wako wengi tu wanaofanya kazi kwa wapendwa sio huyo tu, Huko hakuna ubaguzi kama kule unako kujua ww. samahani wandugu hivi mbona sijaskia tamko la kuwapongeza wanaIGUNGA kwa kuitikia wito wa wale jamaa waliosema w/nchi wasiipigie kura CDM. Au maadamu wamemchagua waliesema achaguliwe basi w/chi hawasitahili kupongezwa? Jamani tafadhali kwa kutumia majukwaa yaleyale toeni tamko la kuwashukuru wanaIGUNGA kwa kukubali ombi lenuKumbe Abdallah Ramadhani anafanya kazi pale kwenye radio ya wapendwa!
mabalozi 18 wa ccm wa igunga wamejivua gamba.wamesema ccm imeshinda kwa sababu walikuwa wanatoa rushwa na ushahidi upo na wanaeleza pia jinsi m/kiti wao alivyokua anasambaza 45mil.wasema ijumaa ijayo watatangaza wanaenda chama gani.
wakati huo huo aliyekua mgombea wa ubunge kupitia cuf kasema hatagombea tena kwa sababu hana hela.anasema angekua na hela angeshinda.anasema kura zake 9000 zimenunuliwa na ccm.
source;ABDALLAH RAMADHAN WA WAPO RADIO
MY TAKE;
hela za rushwa zinaisambalatisha ccm.mia