mpigie simu atakueleza vizuri si mtu wako wa karibu. kafumwa na mke wa Ustadh Rajabu kakimbia kaacha "tonja" yakeTupe hizo nyuzi kashikwa UGONI wapi mie ni mtu wake wa kalibu sina hizo!!!!
Cheki hiyo pozi, kweli CCM wameishiwa yaani hiyo Igunga utafikiri uchaguzi wa uraisi!!!!!!!!! Yaani huyo jamaa anaonekana hata jero unamnunua hahaha ahahah!!!!!!
tanzagiza.com tafadhari angalia rangi nzuri ya website yako.
Pichani Balozi wa Nyumba Kumi katika Kijiji cha Mwayunge Mashariki, Kata ya Igunga mkoani Tabora, Nghoboko Masele, Akiwa chini ya ulinzi baada kukamatwa na wafuasi wa chadema na shahada za kupigia kura pamoja na orodha ya majina ya wapiga kura aliyodaiwa kukutwa nayo.
SOURCE:Wizi wa Kura Igunga: Sura Mbaya Ya CCM - Tanzagiza
Huyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.
mkuu website inaitwa tanzagiza.com ..unataka website yao iwe na rangi nyeupe au? hilo weusi ndiyo giza lenyewe!tanzagiza.com tafadhari angalia rangi nzuri ya website yako.
Huyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.
Huyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.
<br /> <br / ala KUMBE KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA KAHARISHAHuyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.
<br />Uko Igunga? Mbona unajazba sana? Source ya kwamba alishaachana na ubalozi? Na kwamba si kada wa CCM tena? Ukiachana na ubalozi ni lazima uhame na chama? Kwa nn unaihusisha CDM na Arusha na K'manjaro? Huoni ni km unaihusisha CCM na mikoa iliyobaki? Huoni km huo ni ujanja wako wa kuisafisha CCM na ni umamluki unaouonyesha kwa kiwango cha juu sana?
acha hizo wewe tunajua hiyo ni kawaida ya MAGAMBA!Huyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.
tanzagiza.com tafadhari angalia rangi nzuri ya website yako.