Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
usafi na lishe bora
Ww ni ke au me nikusaidie
Clotrimaxole cream...mkuu nenda pharmacy chukua hiyo dawa ...ila ushauri wa bure...tujikaushege vizuri huko sehemu za siri kwani ndio mzizi wa fitna.NI DAWA GANI KUTUMIA KUTOKOMEZA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Hii ni bonge la dawa mkuu.Niliangaika sana mpaka nilipokutana na prof wa ngozi regency hospt akanipa hii dawa ndani ya siku3 tu utaanza kuona mabadilikoUtatajiwa dawa hapa,mpka huko chini usikie panawaka moto,dawa nzuri na isiyo na maumivu ni CANDIDERM CREAM
meWw ni ke au me nikusaidie
Mtu kaomba msaada msaidie kama una uwezo, kama huna ni afadhali ukae kimya kuliko kumwambia uwongo. Leo shida kwa mwenzio kesho kwako. Tangu lini upupu ukawa dawa kwa ugonjwa huo!!Paka UPUPU matokeo utayapata na naamini utanipenda.
ngoja. ...nigeukeNi dawa gani kutumia kutokomeza fangasi sehemu za siri
Nitafute nakuonesha dawa na unajititia mwenyewe vitu vya kutengenezea dawa havizi sh.200 au unaweza vipata bila pesa. Gharama ya kuoneshwa dawa na matibabu 20000|= kama unaumwa kweli nitafute.Ni dawa gani kutumia kutokomeza fangasi sehemu za siri
Na usigeuke....ukigeuka utakua jiwe la chumvi...hata usipogeuka mwenzetu ashapata dawa.ngoja. ...nigeuke
kapataa....basii sawaNa usigeuke....ukigeuka utakua jiwe la chumvi...hata usipogeuka mwenzetu ashapata dawa.