Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mzizimkavu asante kwa msaada unaoutoa hapa jamvini, mimi nina tatizo la kuwashwa mwili/ kuchomachoma hasa pale joto la mwili linapoanza kuongezeka mf. Nikiwa naota moto/jua/nikifanya mazoezi, hali hii ya mwili kuwasha hudumu kwa kipindi kisichozidi nusu SAA then baada ya hapo hali ya kawaida hurejea...
Baada ya muwasho hutokea VIDOTI vidogo hasa kwenye mikono na baadae hupotea...
Hali ya ngozi yangu ni kama ina MBA, msaada wako tafadhali sana ni ugonjwa gani huu unaonisibu coz umedumu kwa muda sasa
ndugu zang naombeni msaada wa dawa ya kumaliza kabisa tatzo lang la fangasi sehem za siri maana lnansumbua sana
Dawa hipo kila cku asbuhi mkojo wakwanza kojoa nk afu mwagia miguuuni dawa tosha ndani ya weeek 1
acha kuvaa boxer.Habari wakuu,
Ndugu zang naombeni msaada wa dawa ya kumaliza kabisa tatzo lang la fangasi sehem za siri maana linansumbua sana.
Natanguliza shukraan