Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Nenda hospital coz watu wengi sana wanachanganya sana fungus na magonjwa megine ya ngozi, kama upo Dar nenda muhimbili au uje Peramiho kunamadaktari wazuri wakuone. Pole sana
 
Fungus wapo kila mahala tunapoishi, na uimara wa kinga ya mwili uhakikishi hawaleti madhala ya kiafya. Kachunguze afya yako, kutakuwa na tatizo linaloathiri kinga ya mwili kiasi cha kushindwa kuwaclea fungus.
 
habari za mdaa huu wakuu, kuna rafiki yangu anaitaji msaada demu wake ana fangasi ukweni yaani alianza kuwasha ukeni kwa ndani baada ya siku kama mbili akaanza kutokwa na vitu viupe ukeni vizito na mchanganyiko wa damu kwa mbali alivyoenda hosiptali baada kumpima aliambiwa ni fangasi wasiwasi wa rafiki yangu ni kuwa na yeye hizo fangasi zitampata?
 
habari za mdaa huu wakuu, kuna rafiki yangu anaitaji msaada demu wake ana fangasi ukweni yaani alianza kuwasha ukeni kwa ndani baada ya siku kama mbili akaanza kutokwa na vitu viupe ukeni vizito na mchanganyiko wa damu kwa mbali alivyoenda hosiptali baada kumpima aliambiwa ni fangasi wasiwasi wa rafiki yangu ni kuwa na yeye hizo fangasi zitampata?

Mkiendaga hospitali na magonjwa ya ikulu muwege mnaulizia kama partner nae anahitaji matibabu!
 
Mwambie parter wake kama cyo wewe aanze kuvaa ndomu libolo litamalizwa na fungus
 
majibu ya humu yanafurahisha.kwa hiyo ni yeye anajaribu kumsingizia rafiki?awadanganye watoto wadogo na sio jf.
 
Wote wanapaswa kutibiwa.Kuna aina fulani ya fangas wanawake hupata na kuwafanya wawe sugu kwa mishubebe! hapo ndo huwa wanatamani hata za dogi ili wakunwe vizuri!Utajuta mtu wako akipata hiyo makitu! anakuwa kama vile ana pepo. Atajikuna hadi na vidole!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sasa kama walienda hospitali wameshindwa vipi kuuliza maswali hayo na kuyapatia jibu?

Uwepo wa damu ukeni kama mwanamke hayupo kwenye siku zake sio dalili nzuri na pengine tatizo sio fangasi tu.

Inahitajika daktari aangalie ndani ya uke kwa speculum ili awe na uhakika hiyo damu inatoka sehemu gani. Tafadhali mhimize afanye hivyo kwa sababu damu inaweza kuashiria tatizo kubwa kama kansa. Katika nchi nyingine huwa kuna utaratibu wa wanawake kumuona gynecologist angalau mara moja kwa mwaka ili kuhakikisha "everything is ok". Sisi hatuna utamaduni huo kama sera, ila linapotekea tatizo ni muhimu kuchukulia serious, hata kama mtu anaweza kuhisi ni tatizo dogo.

Pia ni vizuri kupima mkojo kwa sababu njia ya mkojo iko karibu na uke kwahiyo inawezekana infection imeingia kwenye njia ya mkojo pia.
 
habari za mdaa huu wakuu, kuna rafiki yangu anaitaji msaada demu wake ana fangasi ukweni yaani alianza kuwasha ukeni kwa ndani baada ya siku kama mbili akaanza kutokwa na vitu viupe ukeni vizito na mchanganyiko wa damu kwa mbali alivyoenda hosiptali baada kumpima aliambiwa ni fangasi wasiwasi wa rafiki yangu ni kuwa na yeye hizo fangasi zitampata?

Fangasi ukweni?
 
Arudi hospital tena ili wampime vizur zaid coz bado tatizo lipo hata kama alienda hapo mwanzo.Wanaweza chukua huo uchafu wa chini wakiupima watajua tatizo,au njia nyingine.Aende hospital kubwa kama Muhimbil.

R.I.P Dr Bakari muhimbil~alikuwa mtaalamu wa magonjwa yakina mama.
 
habari za mdaa huu wakuu, kuna rafiki yangu anaitaji msaada demu wake ana fangasi ukweni yaani alianza kuwasha ukeni kwa ndani baada ya siku kama mbili akaanza kutokwa na vitu viupe ukeni vizito na mchanganyiko wai damu kwa mbali alivyoenda hosiptali baada kumpima aliambiwa ni fangasi wasiwasi wa rafiki yangu ni kuwa na yeye hizo fangasi zitampata?

Kwani ukisema ni wewe utakufa..
 
majibu ya humu yanafurahisha.kwa hiyo ni yeye anajaribu kumsingizia rafiki?awadanganye watoto wadogo na sio jf.

mkuu huyu jamaa sio member wa jf, so alivyo nieleza hilo tatizo nikamwambia ngoja nilipeleke jf ili tupate ushauri
 
Arudi hospital tena ili wampime vizur zaid coz bado tatizo lipo hata kama alienda hapo mwanzo.Wanaweza chukua huo uchafu wa chini wakiupima watajua tatizo,au njia nyingine.Aende hospital kubwa kama Muhimbil.

R.I.P Dr Bakari muhimbil~alikuwa mtaalamu wa magonjwa yakina mama.

thenx mkuu nitamshauri hivyo...
 
Sasa kama walienda hospitali wameshindwa vipi kuuliza maswali hayo na kuyapatia jibu?

Uwepo wa damu ukeni kama mwanamke hayupo kwenye siku zake sio dalili nzuri na pengine tatizo sio fangasi tu.

Inahitajika daktari aangalie ndani ya uke kwa speculum ili awe na uhakika hiyo damu inatoka sehemu gani. Tafadhali mhimize afanye hivyo kwa sababu damu inaweza kuashiria tatizo kubwa kama kansa. Katika nchi nyingine huwa kuna utaratibu wa wanawake kumuona gynecologist angalau mara moja kwa mwaka ili kuhakikisha "everything is ok". Sisi hatuna utamaduni huo kama sera, ila linapotekea tatizo ni muhimu kuchukulia serious, hata kama mtu anaweza kuhisi ni tatizo dogo.

Pia ni vizuri kupima mkojo kwa sababu njia ya mkojo iko karibu na uke kwahiyo inawezekana infection imeingia kwenye njia ya mkojo pia.

asante mkuu kwa ushauri mzuri, na mimi nitawashauri ili waweze kuufanyia kazi
 
Dear doctor ninasumbuliwa na fangasi tangu mwaka 2010 mpaka leo hii mguu unazidi kunyofoka plz naomba msaada wako wa kupata dawa husika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom