kure11
Senior Member
- Apr 10, 2011
- 110
- 26
Nenda hospital haraka,mpaka dalili inajitokeza ujue kako ndani muda ,inatibika na kupona kabisa.mwenzio/wenzio usimwache/waache maana ukipona mwenyewe ukilala nao utapata tena.mwambie mwenzio awe mwaminifu na wewe utulie .hosptal za serikal wanavipimo sahihi Na majibu ya kweli na dawa pia.