Katibukata
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 182
- 11
Wadau,
Kwa mwezi mmoja uliopita nimekuwa natokwa na dizaini fulani ya mabaka kwenye sehemu ya juu ya unyayo . Yaani ile ya rangi brown ya kukanyagia inatokea kama mabaka juu ya unyayo karibu na ankle. Ukiniangalia visigino na sehemu ya juu unyayo nina mabaka lakini hayaumi.
Wadau hii nini? naweza kutumia dawa gani? Saidia.
Kwa mwezi mmoja uliopita nimekuwa natokwa na dizaini fulani ya mabaka kwenye sehemu ya juu ya unyayo . Yaani ile ya rangi brown ya kukanyagia inatokea kama mabaka juu ya unyayo karibu na ankle. Ukiniangalia visigino na sehemu ya juu unyayo nina mabaka lakini hayaumi.
Wadau hii nini? naweza kutumia dawa gani? Saidia.