Mabadiliko..

jacjaz

JF-Expert Member
Sep 7, 2011
440
205
Hivi ni kwanini wengi wetu tunabadilika baada ya ndoa hata kama uchumba ulidumu muda mrefu kiasi cha kutosha kujuana vyema!?

mfano; mtu ulimjua kuwa ni mcheshi,muongeaji mzuri tu,mshauri wa ukweli na anakwenda na wakati,ila baada ya ndoa anakuwa mpole,mwenye aibu zaidi na anayekubali kila kitu toka kwako bila hata kushauri tena kama awali?! ukiuliza anakwambia anakuheshimu! mwanzo haikuwa heshma au!?

ova, kama nimesomeka....
 
in other words hata kitandani anabadilika kuliko ilivyokuwa awali,si ndio?
 
mbona mimi naonaga mabadiliko ya opposite....???????

Kabisaaaa,kwa kumaanisha mwanzo alikuwa akifanya mambo ili aweze kumteka huyo mwenza kihisia na mengineyo kisha akishakuwa chini ya himaya yake anajua hawezi kufurukuta ndio anachomoza makucha yake...vitu kama kupiga, matusi ya nguoni,chuki kwa ndugu wa mwenza nk. ndo huwa mara nyiingi vinajitokeza baada ya kuingia kwenye ndoa....
 
Hivi ni kwanini wengi wetu tunabadilika baada ya ndoa hata kama uchumba ulidumu muda mrefu kiasi cha kutosha kujuana vyema!?

mfano; mtu ulimjua kuwa ni mcheshi,muongeaji mzuri tu,mshauri wa ukweli na anakwenda na wakati,ila baada ya ndoa anakuwa mpole,mwenye aibu zaidi na anayekubali kila kitu toka kwako bila hata kushauri tena kama awali?! ukiuliza anakwambia anakuheshimu! mwanzo haikuwa heshma au!?

ova, kama nimesomeka....

Sometime kuchokana kunakopelekewa na kutokuwa na mapya katika mahusiano yenu/yao
 
Inategemea anabadilikaje kwenye mabaya kwenda mazuri au mazuri kwenda mabaya?but all in all mpenzi wako ni jinsi unavyomhandle tu mnaweza mkawa wote for even ten years na akawa kama mmekutana jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom