Nimesukumwa na mabadiliko,
Maoni yangu ni
Kila mmoja popote alipo awashawishi waliomzunguka tufanye mabadiliko kuanzia kwa mjumbe wa nyumba kumi mpaka juu wawe chama pinzani.
Tukipanga tutaweza. tena tuanze sasa. je mwaonaje
Nimesukumwa na mabadiliko,
Maoni yangu ni
Kila mmoja popote alipo awashawishi waliomzunguka tufanye mabadiliko kuanzia kwa mjumbe wa nyumba kumi mpaka juu wawe chama pinzani.
Tukipanga tutaweza. tena tuanze sasa. je mwaonaje
The challenge is idadi ya wapinzani hawatoshi kujaza hizo nafasi... and IT IS NOT ALWAYS TRUE kwamba wapinzani wana uwezo sana zaidi ya CCM... remember kwenye demokrasia ya vyama vingi always kutakuwa na wapinzani na walio madarakani and always hakuna chama kitakuwa madarakani kitakuwa kinatenda kama malaika....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.