WanaJF napenda kuwataarifu kuwa ile tarehe ya mwanzo ya harusi yangu imesogezwa hadi tar 17/04 kutokana na kuingiliana na kikao kikubwa cha wachungaji pale Tanga.Maandalizi mengine yanaendela kama kawaida.Karibuni sana.
haya kaka zemu tuko pamoja!
umesomeka mama/baba.wanajf napenda kuwataarifu kuwa ile tarehe ya mwanzo ya harusi yangu imesogezwa hadi tar 17/07 kutokana na kuingiliana na kikao kikubwa cha wachungaji pale tanga.maandalizi mengine yanaendela kama kawaida.karibuni sana.
What if is the girl/woman?
atuweke bayana siye
halafu kumbukeni kombe la dunia kule south wengine huenda wasiwepo.hawajarudi.
sasa michango tumpe nani?
hivi eeh...coke ipi sasa ile yenye chupa nyeusi tii (ikiwa na soda)au ile yenye wekundu kidogo