Mabadiliko ya tabia kwa mama mjamzito husababishwa na nini?

samson360

Member
Jun 16, 2016
12
5
Hivi ni kwanini mwanamke anapokuwa mjamzito huwaga ana matatizo kupita kiasi?

Mfano anaweza kumchukia mumewe, kula vyakula visivyoeleweka kama udongo, panadol na vitu vingine kama hivyo.
 
Hivi ni kwa nini mwanamke anapokuwa mjamzito huwaga ana matatizo kupita kiasi.mfano anaweza Mchukia mumewe.kula vyakula visivyoeleweka mfano udongo;panador na vitu vingine kama hivyo
It is due to Hormonal coordination
 
kuna mabadiliko ya hormones nyengine zinapanda nyengine zinashuka almradi kiumbe kikue vyema, hii inaweza kufanya chuki na hasira kuongezeka, mvuto kupungua au kuongezeka na mambo mengine kama hayo.
 
Back
Top Bottom