Nimeona kwenye habari za magazetini kupitia Channel 10 ... Gazeti la RAI linadai kwamba mabadiliko makubwa ya uongozi serikalini yanakuja na yatafanyika mara baada ya Uchaguzi wa CCM ambao utafanyika mwanzoni mwa mwezi ujao.
Kwa kuzingatia kwamba gazeti hili linamilikiwa na mdau wa wana mtandao, kunaweza kuwa na ukweli wowote kwenye hii habari? Kwa wale walio na uwezo wa kunusa tupasheni basi undani wa hayo mabadiliko, ili mradi isije ikawa ni udaku!
Kwa kuzingatia kwamba gazeti hili linamilikiwa na mdau wa wana mtandao, kunaweza kuwa na ukweli wowote kwenye hii habari? Kwa wale walio na uwezo wa kunusa tupasheni basi undani wa hayo mabadiliko, ili mradi isije ikawa ni udaku!