Sio siri CDM ndo chama kikubwa cha upinzani, CDM ina self made wafuasi/mashabiki kuliko wanachama, CDM inapendwa na watu hasa vijana bila kushawishiwa kwa mikutano au vipeperushi. Pamoja na kudaiwa kuibiwa uchaguzi wa 2010, ukweli unabaki CDM ilishindwa uchaguzi pamoja na kuwa na ufuasi mwingine.
Leo naomba tuangallie upande wa pili ni makosa gani yalikifanya kishindwe uchaguzi (udhaifu wa ndani) na kinafanya nini hivi sasa kurekebisha hizo kasoro kwa siku za baadaye. Naona kama CDM kinakosa kitu fulani mahali fulani kukifanya kiwe chama chama cha kuwasemea wananchi-kuna mahali pana mushkeli hapajakaa sawa. Nina imani pakirekebishwa hapo, hata viongozi wakisema kuwa watu waingie bararabani watu watafanya hivyo bila kusita. Mfano idara yao ya habari na uenezi haiko active sana, ubunifu hakuna kabisa.
Natamani kuona CDM isiwe ''reactive chama'' yaani wao wanaonekana na kusikika kufuata matukio. Pia wawe wai kueleza misimamo yao kuhusu masula yanayokuwa kwenye public sana. Mfano, walifanya vema khs mafuriko, je kuhusu ushoga, je wao kutumika na EL au RA mbona hakuna tamko. Naona kama CDM kinahitaji kuwa na washauri ambao wako nje ya boski la uongozi, wachambuzi ambao hata sio wanachama lakini wanapenda mabadiliko.
Hebu tuwape ushauri CDM, wafanye nini ili wapige hatua nyingine kubwa kutoka hapo walipo leo ambapo naona kama kuna ka stalemate fulani hivi. Kama unaonyesha udhaifu basi jaribu na kupendekeza ufumbuzi wake
Leo naomba tuangallie upande wa pili ni makosa gani yalikifanya kishindwe uchaguzi (udhaifu wa ndani) na kinafanya nini hivi sasa kurekebisha hizo kasoro kwa siku za baadaye. Naona kama CDM kinakosa kitu fulani mahali fulani kukifanya kiwe chama chama cha kuwasemea wananchi-kuna mahali pana mushkeli hapajakaa sawa. Nina imani pakirekebishwa hapo, hata viongozi wakisema kuwa watu waingie bararabani watu watafanya hivyo bila kusita. Mfano idara yao ya habari na uenezi haiko active sana, ubunifu hakuna kabisa.
Natamani kuona CDM isiwe ''reactive chama'' yaani wao wanaonekana na kusikika kufuata matukio. Pia wawe wai kueleza misimamo yao kuhusu masula yanayokuwa kwenye public sana. Mfano, walifanya vema khs mafuriko, je kuhusu ushoga, je wao kutumika na EL au RA mbona hakuna tamko. Naona kama CDM kinahitaji kuwa na washauri ambao wako nje ya boski la uongozi, wachambuzi ambao hata sio wanachama lakini wanapenda mabadiliko.
Hebu tuwape ushauri CDM, wafanye nini ili wapige hatua nyingine kubwa kutoka hapo walipo leo ambapo naona kama kuna ka stalemate fulani hivi. Kama unaonyesha udhaifu basi jaribu na kupendekeza ufumbuzi wake